MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma.
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qz_pcH478AQ/XuDxoPsUxII/AAAAAAALtZA/53-UZ7gC89sk29mMF7jrp167AP7HNTVQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.40.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--x_M8v1RO-8/XuDxn22qkvI/AAAAAAALtY8/uyAOp5opA64yMGRNuM9_m6phagJp2bQXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.41.13%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
5 years ago
MichuziJAFO AWAPONGEZA KISARAWE KWA UBUNIFU WA TAMASHA LA MAMA LISHE, ATOA MAAGIZO KWA WAKURUGENZI WOTE
Jafo ametumia nafasi hiyo kuwataka wakurugenzi wa halmashiri zote nchini ambao wataoshindwa kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana watachukuliwa hatua ikiwemo ya kutumbuliwa.
Akizungumza...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpeg)
RC KAGERA AKABITHI BOTI KWA WATENDAJI KATA, ATOA MAAGIZO MAZITO KUHUSU MATUMIZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s640/1..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera Bri.Gen Marco Gaguti aliyeshika ufunguo wenye kamba nyekundu akikabidhi boti kwa watendaji wa kata.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VD9AbMVj5o/Xs5GXZUTtlI/AAAAAAALrso/6suT3X98SH0jeRm5NkJliZ1WpBdCASlcgCLcBGAsYHQ/s640/2..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera akiwahuitubia wavuvi pamoja na wananchi katika kijiji cha katembe Kata Nyakabango wilayani Muleba wakati wa hafla ya kukabithi Boti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX3I2C95dPU/Xs5GXfNVdaI/AAAAAAALrss/svcuGEtFTx8_9AGCLEyEHlZg_vCMJ2oFgCLcBGAsYHQ/s640/3..jpeg)
Wananchi pamoja na viongozi wa wilaya Muleba wakimsikiliza Mkuu wa mkoa alipokuwa akiwahutubia.
Na Allawi Kaboyo,Muleba
Kufatia kuwepo kwa vitendo vya uvuvi Haramu katika ziwa Victoria,Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6yGIYn4U2Ns/VlqR_1tYUbI/AAAAAAAII3k/QLoD7zXAMqQ/s72-c/IMG-20151128-WA0038.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s72-c/1.jpg)
LUSINDE AWASHUKIA WATENDAJI WASITEKELEZA MAAGIZO YA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BsZByfBu_9s/VP3vkzceftI/AAAAAAAAXzE/bj8R06Bmij0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BOftIVfayBE/VP3vpuB4fwI/AAAAAAAAXz4/Xg7IAIYl69o/s1600/3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatano April 22, 2020 akiwa kwenye Maombezi ya kuombea Taifa dhidi ya ugonjwa huu yanayofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar
“Wiki hii waumini wa kiislamu wanaanza mfungo wa Ramadhan hivyo...
10 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA MOSHI AWASEMEA WATENDAJI WANAO HUJUMU MALI ZA UMMA KWA WANANCHI