Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri awashukia watendaji Kinondoni, Ilala

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama ameacha taharuki kwa baadhi ya watendaji wa Manispaa za Kinondoni na Ilala jijini Dar es Salaam ya kuweza ‘kukosa kazi’ hasa kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo waliyotakiwa, likiwemo la Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waziri awashukia watendaji mgodini

Waziri wa Nishati ya Madini, George Simbachawene amewataka wawakilishi wa Serikali kwenye Mgodi wa Tanzanite One kutekeleza wajibu wa kulinda masilahi ya Taifa.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA ATEMBELEA MANISPAA ZA ILALA, KINONDONI NA TEMEKE KUKAGUA UKUSANYAJI WA KODI

 Na Rose MasakaWAZIRI wa Fedha Bi. Saada Mkuya amefanya ziara yake ya kikazi katika Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam ili  kupata taarifa za makusanyo ya kodi za majengo ikiwa ni eneo moja kati ya maeneo sita ambayo yamepewa kipaumbele katika suala la ukusanyaji wa kodi kama vile eneo la kilimo na miundombinu.

Bi. Saada Mkuya aliahidi kufanya ziara hiyo katika kikao kilichofanyika wiki iliyopita baada ya kurudisha zoezi la ukusanyaji wa kodi za majengo katika Serikali za Mitaa ili kuona...

 

11 years ago

Mwananchi

Muhongo awashukia watendaji wabovu

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa watumishi wa Serikali ngazi za juu ni chanzo cha kusababisha wananchi kuichukia Serikali iliyopo madarakani na chama chake, kutokana na utendaji kazi mbovu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji

Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini imekiri kuwepo kwa watendaji wake wasiokuwa na uadilifu katika kazi zao, ambao waliruhusu gari la Kampuni ya Burudani kuondoka likiwa na abiria zaidi ya 93 bila ya kukaguliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwapachu awashukia watendaji wa EAC nchini

 Aliyekuwa katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Bakari Mwapachu amesema viongozi wa Tanzania wamekuwa nyuma katika utekelezaji wa baadhi ya makubaliano muhimu ya jumuiya hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

LUSINDE AWASHUKIA WATENDAJI WASITEKELEZA MAAGIZO YA RAIS


 Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya kisima cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete awashukia vigogo Kinondoni

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewashukia watendaji wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushindwa kuondoa maji yaliyozingira makazi ya watu eneo la Tegeta Basihaya, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeng’amua mbinu za CCM kutaka kuwatumia mawaziri walioteuliwa na Rais kuwa wabunge, kushiriki vikao vya madiwani vitakavyochagua mameya wa Manispaa za Kinondoni na Ilala ili kushinda viti hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Kinondoni mikononi mwa Takukuru

MHANDISI wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, Ofisa Mipango Miji, Christopher na Ofisa Mtendaji wa Osterbay, Kata ya Msasani, aliyetajwa naye kwa jina moja la Mushi wanashikiliwa na Taasisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani