Kikwete awashukia vigogo Kinondoni
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewashukia watendaji wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushindwa kuondoa maji yaliyozingira makazi ya watu eneo la Tegeta Basihaya, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri awashukia watendaji Kinondoni, Ilala
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama ameacha taharuki kwa baadhi ya watendaji wa Manispaa za Kinondoni na Ilala jijini Dar es Salaam ya kuweza ‘kukosa kazi’ hasa kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo waliyotakiwa, likiwemo la Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Hatima ya vigogo Kinondoni leo
HUKUMU ya kesi namba 38/2013 ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili mweka hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Mkoa Tanga....
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Vigogo Manispaa Kinondoni waendelea kusota rumande
NA MWANDISHI WETU
VIGOGO watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, waliokamatwa kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa, wanaendelea kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Vigogo wanaoshikiliwa ni Mhandisi wa manispaa hiyo, Baraka Mkuya, Mkaguzi Mkuu wa Majengo aliyetajwa kwa jina moja la Christopher na Ofisa Mtendaji wa Kata ya Msasani aliyefahamika kwa jina la Mushi.
Ofisa Uhusiano wa TAKUKURU, Doreen Kapwani, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa vigogo...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Mkosamali awashukia Kikwete, Makinda
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Hatima ya vigogo sakata la Escrow mikononi mwa Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
BUNGE limeazimia kuwajibishwa kwa mawaziri Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Anna Tibaijuka, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema, kutokana na sakata la uchotaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT) kwa kutaka mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wao.
Mbali na hao, yumo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania...
9 years ago
GPLKIKWETE ALIVYOSHUHUDIA VIPAJI, KINONDONI
11 years ago
MichuziManispaa ya Kinondoni Kujenga Daraja litakalounganisha Mabwepande na Kitongoji cha Kikwete Visheni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UMOJA WA VIKUNDI VYA WAMA KATIKA WILAYA YA KINONDONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z29XipiFWo0/VJMUV07zMvI/AAAAAAAG4SM/HEmfG-ub6Jg/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yIKLg8UFvK0/VJMUWYZB0bI/AAAAAAAG4SU/355m6ThAE-E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH