Manispaa ya Kinondoni Kujenga Daraja litakalounganisha Mabwepande na Kitongoji cha Kikwete Visheni
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (katikati) akisaini mkataba wa Ujenzi wa daraja la Mabwepande kwenda Kitongoji cha Kikwete Vision Mji Mpya na Meja Jenerali Dk,Charles Muzanila (kulia) wa Shirika la Ujenzi la Mzinga na Diwani wa Kata ya Mabwepande,Clement Boko (kushoto) huku wadau wakishuhudia.Sherehe ya kusaini ilifanyika eneo la ujenzi.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (pili kulia) wakibadilishana nyaraka baada ya kutia saini ya ujenzi wa Daraja na Meja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Michuzi19 May
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAKAZI YA WATU TEGETA,BUNJU NA KUNDUCHI NA KUJENGA MFEREJI WA KUDUMU KUPITISHA MAJI YA MVUA KUELEKEA BAHARI YA HINDI
![AT1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT1.jpg)
![AT2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT2.jpg)
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
5 years ago
MichuziDC KASESELA:AHAMISHA KITONGOJI CHA MBINGAMA TARAFA YA PAWAGA.
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiongea na wananchi wa kijiji cha Isele kitongoji cha Mbingama kilichopo katika tarafa ya Pawaga akiongea nao mara baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokana na kunyesha kwa mvua nyingi mwaka huu
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiongea na wananchi wa kijiji cha Isele kitongoji cha Mbingama kilichopo katika tarafa ya Pawaga akiongea nao mara baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokana na kunyesha kwa mvua nyingi mwaka huu
NA FREDY...
11 years ago
Mwananchi05 May
Wananchi wajitolea kujenga daraja
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mdee achangisha milioni 2.3/- kujenga daraja
MANENO SELANYIKA NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amefanya harambee kwa wananchi wa Kata ya
Bunju ‘A’ jijini Dar es Salaam ili kupata fedha za kujenga daraja.
Akizungumza mwishoni mwa wiki katika mkutano na wananchi, Mdee alisema fedha hizo zitatumika kujenga daraja katika kata hiyo ili kutatua kero ya usafiri kwa wananchi hao hasa kipindi cha mvua.
Mbali na harambee hiyo, Mdee aliwaahidi kuwapatia wakazi hao Sh milioni 5 kutoka mfuko wa jimbo ili...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni
MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Manispaa Kinondoni yainunua Tesema FC
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni,imekuwa manispaa ya kwanza kwa jiji la Dar es Salaam kumiliki timu ya Daraja la Kwanza, baada ya kuinunu timu ya soka ya Tesema. Hatua hiyo...