Barnaba Ney na Vanesa Wasisitiza mawifi wajipangeeeeeee
![](http://2.bp.blogspot.com/-ms8DUhKHkW8/U3I5FpCdDfI/AAAAAAACg6U/wkiVSdYxuuE/s72-c/Girl.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Ney, Barnaba, Mdee wapagawisha ‘Airtel Switch On’
WASANII nyota wa muziki nchini ambao pia ni mabalozi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, kupitia huduma mpya ya ‘Airtel Switch On’, Ney wa Mitego, Vannessa Mdee na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...
9 years ago
Bongo527 Oct
Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’
Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Maana ya Krismasi kwa Vanesa Mdee
Vanesa Mdee, mwanamuziki maarufu wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania anasherehekea vipi sikukuu ya Krismasi mwaka huu?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwvvykJy9AlN4obeVVUjieDNv-epzOMe9*vBdA-9KswMRBXaFc-CoYpEfP0wpA7ler8lCKacMpKg5C*ulrir6f7/cathy.jpg)
MAWIFI WAMKERA CATHY
Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa anakerwa na tabia za mawifi kuwachukia wake za kaka zao bila sababu za msingi. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Akichonga na paparazi wetu, Cathy alisema mawifi wengi huwachukia na kuwawekea vinyongo wake wa kaka zao hata kama hawajawakosea, kitu ambacho kinamkera na anaamini siyo yeye peke...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mawifi pande zote mpendane
Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzfFANOeWbWOckzM4Va*Ya3qjg*x8cyt92Kywt1S2kznStLXpDh0anPt1NfeFWF2o17DYXGnP1SFeFQCsZaWj4NA/cathy.jpg)
MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY
Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnoISGJbYiKvdo5*grtT05k88oJLOU3wmp7k6osOFUqyNvK3wnr89H8R3D*UJQktO-RqWk0fxme86vHAwQ2XQ3e/mwanzo.jpg?width=650)
AUNTY LULU AWAJIA JUU MAWIFI ZAKE
Na Hamida Hassan
MWANADADA Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amewajia juu mawifi zake ambao wamekuwa wakimtaka aachane na mpenzi wake wa sasa Mwanadada Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. aitwaye Amani kwa maelezo kuwa hawamtaki na yeye amekuwa aking’ang’ania penzi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunty Lulu alisema anawashangaa mawifi zake hao wanaoshadadia amuache mpenzi wake wakati hawajui...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania