Asia Idarous afurahia tuzo ya maisha ya SFW 2014
“Tuzo ya Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, ni furaha ya maisha yangu”
Na Andrew Chale
USIKU wa Desemba 7, 2014, imekuwa ya furaha na ya kipekee kwa Mbunifu mkongwe mitindo na mavazi ndani na nje ya Tanzania, Asia Idarous Khamsin ama ‘Mama wa Mitindo Tanzania’, baada ya kuzawadiwa tuzo maalumu ya ‘Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, kutoka Swahili Fashion Week, amesema tuzo hiyo ni furaha ya Maisha yake na ataendelea kutumia wasaha wa kuinua tasnia ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-syN2CLFechA/VIWnt_hmb5I/AAAAAAAG2Cc/E7JMjwGW30w/s72-c/IMG-20141208-WA0006.jpg)
mamaa wa mitindo asia idarous apata tuzo ya Zakhia Meghji Life Time Achievement 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-syN2CLFechA/VIWnt_hmb5I/AAAAAAAG2Cc/E7JMjwGW30w/s640/IMG-20141208-WA0006.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vYRF7gjekqA/VIs_DI5JVmI/AAAAAAAG2yY/DDxyJwwatIw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MNUSO WA KUMPONGEZA MAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KHAMSIN KWA KUNYAKUA TUZO YA LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYRF7gjekqA/VIs_DI5JVmI/AAAAAAAG2yY/DDxyJwwatIw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--DMLkPe0PvM/VIs_bUgrUNI/AAAAAAAG20s/w8iXY36ZoEI/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-em_KXK4SOL4/VIs_SrHRzpI/AAAAAAAG2yg/6jh98y1E4II/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EE3_yHNTlfk/VIs_S9P75kI/AAAAAAAG2ys/6nfjHwwkNEk/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
VijimamboMama wa mitindo Asia Idarous Khamsin apata tuzo
![](http://4.bp.blogspot.com/-VQtk8j9RkuA/VIWnu89BDUI/AAAAAAAG2Ck/rsxQOelD9Nw/s640/IMG-20141208-WA0005.jpg)
11 years ago
MichuziShukurani za Asia Idarous Khamsin kwa kuiunga mkono "Lady in RED" 2014
MAMA wa Mitindo nchini na Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin amewashukuru wadau mbali mbali kwa kuendelea kuliunga mkono onesho la Mitindo la kila mwaka la 'Lady in Red' ambalo kwa mwaka huu limetimiza miaka 10 tokea kuanzishwa kwake huku likiwa la mafanikio kwa kuibua wanamitindo wakubwa hapa nchini.
Akizungumza Dar es salaam, katika ofisi za Fabak zilizopo Msasani jirani na Kwa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, Asia Idarous...
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Mwandishi MCL ashinda tuzo ya SFW 2015
11 years ago
GPLASIA IDAROUS AWASHUKU WADAU
11 years ago
Dewji Blog09 May
Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa
Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.
.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA
Na Andrew Chale
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6tiVbkr80cE/VE0DJTB4wxI/AAAAAAAAGIk/xpEJ68bcW8w/s72-c/zipompa.jpg)
Siku ya msanii Kanga designed by asia idarous khamsin
![](http://1.bp.blogspot.com/-6tiVbkr80cE/VE0DJTB4wxI/AAAAAAAAGIk/xpEJ68bcW8w/s1600/zipompa.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake
MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...