ASIA IDAROUS AWASHUKU WADAU
Asia Idarous akipita kwenye red Carpet .wakati wa onyesho hilo. Mbunge wa Bunge la Katiba, Mh. Maria Sarungi akihojiwa na Deo wa Nivana wa East Afrika Television…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1539.jpg)
BIRTHDAY YA MAMAA WA MITINDO, ASIA KHAMSIN IDAROUS YAFANA KWENYE KIOTA CHA NYUMBANI LOUNGE
11 years ago
Dewji Blog09 May
Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa
Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.
.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA
Na Andrew Chale
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Asia Idarous afurahia tuzo ya maisha ya SFW 2014
“Tuzo ya Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, ni furaha ya maisha yangu”
Na Andrew Chale
USIKU wa Desemba 7, 2014, imekuwa ya furaha na ya kipekee kwa Mbunifu mkongwe mitindo na mavazi ndani na nje ya Tanzania, Asia Idarous Khamsin ama ‘Mama wa Mitindo Tanzania’, baada ya kuzawadiwa tuzo maalumu ya ‘Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, kutoka Swahili Fashion Week, amesema tuzo hiyo ni furaha ya Maisha yake na ataendelea kutumia wasaha wa kuinua tasnia ya...
10 years ago
VijimamboMama wa mitindo Asia Idarous Khamsin apata tuzo
![](http://4.bp.blogspot.com/-VQtk8j9RkuA/VIWnu89BDUI/AAAAAAAG2Ck/rsxQOelD9Nw/s640/IMG-20141208-WA0005.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6tiVbkr80cE/VE0DJTB4wxI/AAAAAAAAGIk/xpEJ68bcW8w/s72-c/zipompa.jpg)
Siku ya msanii Kanga designed by asia idarous khamsin
![](http://1.bp.blogspot.com/-6tiVbkr80cE/VE0DJTB4wxI/AAAAAAAAGIk/xpEJ68bcW8w/s1600/zipompa.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TNWEnTPt7mg/VGz6eoxIOHI/AAAAAAADNvc/YCj54B7MK0s/s72-c/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015
Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.
Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake
MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s72-c/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MAMAA WA MITINGO ASIA IDAROUS KUFANYA ONYESHO LA MIAKA 50, ABUJA, NIGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s1600/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin anatarajiwa kufanya onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, litakalofanyika Abuja, Nigeria, usiku Aprili 25.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Abuja, Nigeria, Asia Idarous ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, alisema onyesho lililoandaliwa na Umoja wa watanzania waishio nchini Nigeria, ambapo usiku huo wa Aprili 25, watakutana kwa pamoja na...