Tuzo ya amani imewaumbua CCM-Lowassa
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na kuungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema anashangaa kuona anaambiwa mleta vurugu wakati dunia inamkubali kuwa ni mlinzi wa amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Taasisi 1,200 duniani zampa tuzo ya amani Edward Lowassa
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Malala ashinda tuzo ya amani ya Nobel
10 years ago
Habarileo26 Dec
Lowassa apongeza amani ya Z’bar
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amewapongeza Wazanzibar na Serikali ya mseto visiwani humo kwa kudumisha amani. Akitoa salamu zake Krismasi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe mjini Unguja alikokwenda kusali, Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, alisema hali ya amani visiwani humo sasa ni shwari kabisa.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Lowassa ahubiri amani, upendo
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-4v_CvaCJSGA/VnbWjqDcqnI/AAAAAAAAXfw/773daBrNJX0/s72-c/lowassa-ukawa.jpg)
Lowassa afurahia tuzo
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Lowassa asema kulinda amani jukumu la wote
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu