Lowassa apongeza amani ya Z’bar
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amewapongeza Wazanzibar na Serikali ya mseto visiwani humo kwa kudumisha amani. Akitoa salamu zake Krismasi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe mjini Unguja alikokwenda kusali, Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, alisema hali ya amani visiwani humo sasa ni shwari kabisa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbowe apongeza kung’olewa Amani
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewapongeza madiwani wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), CHADEMA na Mbunge wa Bukoba Mjini, Khamisi Kagasheki kwa kusimama kidete...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Makamba apongeza Lowassa kukatwa CCM
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amepongeza chama hicho kwa kukata jina la Edward Lowassa, katika kundi la wawania urais wa chama hicho kwa kuwa hakuwa na sifa za kuwa Rais.
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Hatutawaonea haya watakaohatarisha amani — Polisi Z’bar
11 years ago
Habarileo12 Aug
Shein asifu amani Z’bar, akaribisha uwekezaji
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameitaka Ujerumani kuwekeza visiwani humo katika maeneo mbalimbali na kuleta watalii wengi zaidi kufuatia kuimarika kwa amani na utulivu.
9 years ago
TheCitizen04 Oct
I prefer three-tier govt, Lowassa assures Z’bar
10 years ago
Mwananchi03 May
Lowassa, Membe, Pinda waonyeshana jeuri ya fedha Z’bar
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Lowassa ahubiri amani, upendo
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Tuzo ya amani imewaumbua CCM-Lowassa
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Lowassa asema kulinda amani jukumu la wote