Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa apongeza amani ya Z’bar

MBUNGE wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na mkewe wakiwa kanisani, Zanzibar.WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amewapongeza Wazanzibar na Serikali ya mseto visiwani humo kwa kudumisha amani. Akitoa salamu zake Krismasi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe mjini Unguja alikokwenda kusali, Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, alisema hali ya amani visiwani humo sasa ni shwari kabisa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe apongeza kung’olewa Amani

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe,  amewapongeza madiwani wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), CHADEMA na Mbunge wa Bukoba Mjini, Khamisi Kagasheki kwa kusimama  kidete...

 

9 years ago

Habarileo

Makamba apongeza Lowassa kukatwa CCM

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amepongeza chama hicho kwa kukata jina la Edward Lowassa, katika kundi la wawania urais wa chama hicho kwa kuwa hakuwa na sifa za kuwa Rais.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatutawaonea haya watakaohatarisha amani — Polisi Z’bar

Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame amewaonya wananchi kuepuka vitendo vya uvunjifu wa amani siku ya kupiga kura, kutangazwa matokeo na kuapishwa kwa rais atakayeshinda.

 

11 years ago

Habarileo

Shein asifu amani Z’bar, akaribisha uwekezaji

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameitaka Ujerumani kuwekeza visiwani humo katika maeneo mbalimbali na kuleta watalii wengi zaidi kufuatia kuimarika kwa amani na utulivu.

 

9 years ago

TheCitizen

I prefer three-tier govt, Lowassa assures Z’bar

Chadema presidential candidate Edward Lowassa said here yesterday that he would prefer a three-tier federal government that would enable Zanzibar to have its full autonomy.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Membe, Pinda waonyeshana jeuri ya fedha Z’bar

>Hatimaye makada wa CCM wanaotajwa kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano, juzi walipata nafasi ya kutunishiana misuli baada ya kualikwa kuchangia mfuko wa maendeleo wa mkoa mpya wa CCM wa Magharibi visiwani hapa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ahubiri amani, upendo

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ameibukia katika Kanisa la KKKT wilayani Handeni mkoani Tanga, kushiriki ibada ya Krismasi na kutumia nafasi hiyo kushukuru wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Tuzo ya amani imewaumbua CCM-Lowassa

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na kuungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema anashangaa kuona anaambiwa mleta vurugu wakati dunia inamkubali kuwa ni mlinzi wa amani.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa asema kulinda amani jukumu la wote

>Waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa  amesema hakuna mtu yeyote mwenye hatimiliki ya  Tanzania hivyo Watanzania wote wanao wajibu wa  kuilinda na kudumisha amani na utulivu uliopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani