Shein asifu amani Z’bar, akaribisha uwekezaji
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameitaka Ujerumani kuwekeza visiwani humo katika maeneo mbalimbali na kuleta watalii wengi zaidi kufuatia kuimarika kwa amani na utulivu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
DK Shein asifu ushirikiano wa China
11 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Wasira asifu amani na utulivu kwa Watanzania
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amesema Watanzania wamebarikiwa amani, umoja na utulivu ndiyo maana kila jambo wanalolifanya linafanikiwa bila matatizo. Wassira alisema miongoni mwa...
11 years ago
Habarileo29 Oct
Shein asifu kazi nzuri ofisi ya CAG
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema kufanikiwa kwa udhibiti na ukaguzi mzuri wa fedha za serikali ndio silaha kubwa ya maendeleo ya nchi.
11 years ago
Habarileo30 Sep
Maalim Seif asifu amani, utulivu Afrika Mashariki
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema hali ya amani na utulivu katika eneo la Afrika Mashariki ni ya kuridhisha.
10 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Dk. Shein afunika Z’bar
Dk. Shein afunika Z’bar. NA RAHMA SULEIMAN 25th August 2015 B-pepe Chapa Asema madai ya Maalim Seif kuwa aliibiwa kura katika chaguzi zilizopita hayana msingi. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Umati wa wanachama wa […]
The post Dk. Shein afunika Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo26 Dec
Lowassa apongeza amani ya Z’bar
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amewapongeza Wazanzibar na Serikali ya mseto visiwani humo kwa kudumisha amani. Akitoa salamu zake Krismasi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe mjini Unguja alikokwenda kusali, Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, alisema hali ya amani visiwani humo sasa ni shwari kabisa.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Dk Shein ataka maendeleo Z’bar
11 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.
Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.
“Matukio yote ambayo yalikuwa...
9 years ago
IPPmedia27 Dec
JPM meets Shein on Z`bar impasse
IPPmedia
IPPmedia
President Dr John Magufuli met with his Zanzibar counterpart President of the Revolutionary Government of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein yesterday in Dar es Salaam for a briefing on the ongoing political impasse in the Isles following annulment of the ...
Talks on Z'bar situation on track, says Dr SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2