Shein asifu kazi nzuri ofisi ya CAG
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema kufanikiwa kwa udhibiti na ukaguzi mzuri wa fedha za serikali ndio silaha kubwa ya maendeleo ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DKT. SHEIN AZUNGUMZAA UONGOZI WA OFISI YA RAIS,KAZI NA UTUMISHI WA UMMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3NlzR7eyy5w/U2OWXXyJI5I/AAAAAAAFe6g/DXolOm63GqA/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Jan
DK Shein asifu ushirikiano wa China
11 years ago
Habarileo12 Aug
Shein asifu amani Z’bar, akaribisha uwekezaji
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameitaka Ujerumani kuwekeza visiwani humo katika maeneo mbalimbali na kuleta watalii wengi zaidi kufuatia kuimarika kwa amani na utulivu.
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
CAG ataka uhuru wa ofisi yake uimarishwe
10 years ago
Habarileo05 Dec
CAG ataka wanasiasa waheshimu ofisi yake
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad (pichani) aliyeapishwa juzi na Rais Jakaya Kikwete amekemea tabia ya wanasiasa na wafanyabiashara kuingilia kazi za kitaaluma, akisema kwa upande wake hatapenda kuona watu wa makundi hayo wakifanya hivyo na kusisitiza kuwa, kufanya hivyo ni kosa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s72-c/DSC_0998.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA OFISI YA CAG
![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s640/DSC_0998.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iLMIa5XtLeg/VaUnNc43FqI/AAAAAAAC8iM/UfLajgD_Nn4/s640/DSC_0002.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Oct
Ofisi ya CAG yaendelea kukusanya vielelezo IPTL
OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) imesema imeshindwa kukamilisha ukaguzi maalumu unaofanywa dhidi ya kampuni ya kufua umeme ya IPTL kwa wakati kutokana na kazi hiyo kuhitaji ukusanyaji wa kina wa vielelezo vinavyojitosheleza.