Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAG ataka wanasiasa waheshimu ofisi yake

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad (pichani) aliyeapishwa juzi na Rais Jakaya Kikwete amekemea tabia ya wanasiasa na wafanyabiashara kuingilia kazi za kitaaluma, akisema kwa upande wake hatapenda kuona watu wa makundi hayo wakifanya hivyo na kusisitiza kuwa, kufanya hivyo ni kosa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CAG ataka uhuru wa ofisi yake uimarishwe

>Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovic Utouh amewataka wafanyakazi wa ofisi hiyo kuhakikisha Katiba ya nchi inaimarisha na kutunza uhuru utendaji wa ofisi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua

WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.

 

10 years ago

Mtanzania

Filikunjombe ataka wanasiasa wajipime

Deo-FilikunjombeNa Mwandishi Wetu, Ludewa

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka viongozi wa siasa kujitafakari kuhusu nafasi wanazoziongoza kuona kama wapo kwa ajili yao binafsi ama kwa ajili ya jamii iliyowachagua.

Filikunjombe alitoa kauli hiyo juzi wakati akitoa salamu zake za pole kwa wakazi wa Ludewa katika mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wilayani hapo, Elizabeth Haule yaliyofanyika kijijini kwake Luana.

Alisema lazima viongozi kujenga utamaduni wa...

 

10 years ago

Habarileo

Shein asifu kazi nzuri ofisi ya CAG

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema kufanikiwa kwa udhibiti na ukaguzi mzuri wa fedha za serikali ndio silaha kubwa ya maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA OFISI YA CAG


 Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ,Jasper Mero akizungumza katika mkutano wa Wadau wa Kujadili mpango mkakati wa  miaka mitano wa ofisi ya CAG uliofanyika leo jijini Dar es Salaam Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ,Jasper Mero  (mwenye tai katikat)akiwa katika picha ya pamoja na wadau kujadili mpango mkakati wa miaka mitano wa ofisi ya CAG uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Na Chalila Kibuda,Globu ya Jami. Imeelezwa kuwa kufikia mlaengo...

 

10 years ago

Habarileo

Ofisi ya CAG yaendelea kukusanya vielelezo IPTL

OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) imesema imeshindwa kukamilisha ukaguzi maalumu unaofanywa dhidi ya kampuni ya kufua umeme ya IPTL kwa wakati kutokana na kazi hiyo kuhitaji ukusanyaji wa kina wa vielelezo vinavyojitosheleza.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA SULUHU AKABIDHIWA RASMI OFISI, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akisaini Kitabu cha wageni wakati alipoingia Ofisini kwake kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib...

 

9 years ago

CCM Blog

MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE



 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akisaini Kitabu cha wageni wakati alipoingia Ofisini kwake kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Raia wa Sierra.L waheshimu agizo

Raia wa Sierra Leone wasalia majumbani mwao kwa siku ya pili mfululizo agizo la kutotoka nje la masaa 72 ili kukabiliana na Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani