CAG ataka wanasiasa waheshimu ofisi yake
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad (pichani) aliyeapishwa juzi na Rais Jakaya Kikwete amekemea tabia ya wanasiasa na wafanyabiashara kuingilia kazi za kitaaluma, akisema kwa upande wake hatapenda kuona watu wa makundi hayo wakifanya hivyo na kusisitiza kuwa, kufanya hivyo ni kosa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Sep
CAG ataka uhuru wa ofisi yake uimarishwe
9 years ago
Habarileo24 Nov
Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua
WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Filikunjombe ataka wanasiasa wajipime
Na Mwandishi Wetu, Ludewa
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka viongozi wa siasa kujitafakari kuhusu nafasi wanazoziongoza kuona kama wapo kwa ajili yao binafsi ama kwa ajili ya jamii iliyowachagua.
Filikunjombe alitoa kauli hiyo juzi wakati akitoa salamu zake za pole kwa wakazi wa Ludewa katika mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wilayani hapo, Elizabeth Haule yaliyofanyika kijijini kwake Luana.
Alisema lazima viongozi kujenga utamaduni wa...
10 years ago
Habarileo29 Oct
Shein asifu kazi nzuri ofisi ya CAG
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema kufanikiwa kwa udhibiti na ukaguzi mzuri wa fedha za serikali ndio silaha kubwa ya maendeleo ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s72-c/DSC_0998.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA OFISI YA CAG
![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s640/DSC_0998.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iLMIa5XtLeg/VaUnNc43FqI/AAAAAAAC8iM/UfLajgD_Nn4/s640/DSC_0002.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Oct
Ofisi ya CAG yaendelea kukusanya vielelezo IPTL
OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) imesema imeshindwa kukamilisha ukaguzi maalumu unaofanywa dhidi ya kampuni ya kufua umeme ya IPTL kwa wakati kutokana na kazi hiyo kuhitaji ukusanyaji wa kina wa vielelezo vinavyojitosheleza.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA SULUHU AKABIDHIWA RASMI OFISI, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Ebola:Raia wa Sierra.L waheshimu agizo