Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua
WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMhe. Kairuki akutana na watumishi wa ofisi yake
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. AGANA NA WATUMISHI WA OFISI YAKE DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s320/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Leor1wiKZ4k/ViiJvpxibXI/AAAAAAAIBnc/2m4mLyZSKe4/s320/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Sep
CAG ataka uhuru wa ofisi yake uimarishwe
10 years ago
Habarileo05 Dec
CAG ataka wanasiasa waheshimu ofisi yake
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad (pichani) aliyeapishwa juzi na Rais Jakaya Kikwete amekemea tabia ya wanasiasa na wafanyabiashara kuingilia kazi za kitaaluma, akisema kwa upande wake hatapenda kuona watu wa makundi hayo wakifanya hivyo na kusisitiza kuwa, kufanya hivyo ni kosa.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lANi_BpY7hc/VJcNg7bzaUI/AAAAAAAG43s/Qgz1Vi-cT0I/s72-c/5.jpg)
PULJIM AWALILIA KASEJA, KIIZA, KAVUMBAGU; ATAKA WACHEZAJI KUJITAMBUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lANi_BpY7hc/VJcNg7bzaUI/AAAAAAAG43s/Qgz1Vi-cT0I/s1600/5.jpg)
Puljim ambaye alichukua nafasi ya Ernie Brandts mwaka jana kabla ya kutimuliwa mara baada ya mechi ya Mtani Jembe mwaka jana ambapo Yanga ilinyukwa mabao 3-1 alimtumia Kaseja kuwa nahodha katika kikosi chake lakini leo amesema anasikia uchungu kumkosa...
9 years ago
Habarileo02 Dec
Pinda amkabidhi ofisi Majaliwa
WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kumtaka aimarishe ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.
9 years ago
Habarileo21 Nov
Majaliwa ataka wabunge wasitafute mchawi
WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amesema uchaguzi umekwisha na kuwataka wabunge waende wakashirikiane na wananchi kufanya kazi badala ya kutafuta mchawi.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Majaliwa ataka weledi Serikali za Mitaa
WATUMISHI wa Serikali za Mitaa wametakiwa kufanya kazi kwa kujituma wakizingatia maadili na taaluma zao badala ya kufanya kazi kwa woga na kwamba hakuna mtumishi yeyote atakayeadhibiwa akifanya kazi yake kwa weledi.