Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PULJIM AWALILIA KASEJA, KIIZA, KAVUMBAGU; ATAKA WACHEZAJI KUJITAMBUA


KOCHA wa Yanga Hans Van Puljim (pichani chini kulia) amedai kusikikitshwa na mlinda mlango Juma Kaseja (juu kushoto) kuingia kwenye bifu na uongozi wa klabu hiyo wakati alimtegemea kuongoza wachezaji wenzake siku za nyuma akiinoa timu hiyo.


Puljim ambaye alichukua nafasi ya Ernie Brandts mwaka jana kabla ya  kutimuliwa mara baada ya mechi ya Mtani Jembe mwaka jana ambapo Yanga ilinyukwa mabao 3-1 alimtumia Kaseja kuwa nahodha katika kikosi chake lakini leo amesema anasikia uchungu kumkosa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pluijm awalilia Kaseja, Kiiza

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amesikitishwa na kitendo cha kuondoka kwa nyota wake Juma Kaseja, Hamisi Kiiza na Didier Kavumbagu, lakini akawataka wachezaji wake wasahau yaliyopita na waangalie yajayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi

Kocha wa Mabingwa wa Soka Afrika, Al Ahly, Mohamed Youssef amesema kati ya wachezaji anaowatilia shaka na ana hofu nao katika mechi ya marudiano Jumapili itakayochezwa saa mbili kamili kwa saa za hapa nchini ni Mrisho Ngasa, Hamis Kiiza na Didier Kavumbagu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wachezaji mmelielewa vizuri soma la Kavumbagu?

KUNA tofauti kubwa ya mchezaji aliyezaliwa Tanzania na asiyezaliwa Tanzania.

Abdul Mkeyenge

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua

WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anataka vipimo bora vya dawa za kusisimua misuli kuchukuliwa mara kwa mara miongoni mwa wachezaji.

 

10 years ago

Habarileo

JK awalilia waathirika ajali ya Tabora

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndugulile awalilia viongozi wa dini

VIONGOZI wa Kiislamu nchini wameombwa kuwaombea wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ili wapate busara na hekima katika kutengeneza Katiba mpya ya Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA

Kifo cha George Tyson ni pigo kubwa lingine kwa taifa na fani ya filamu, George Tyson ukweli ametuinua wengi katika fani ya filamu kwa kazi yake nzuri ya kama director na producer wa filamu, nami ni zao la kazi nzuri ya Tyson katika kazi za filamu, hapa itakumbukwa mwaka 1998 hadi 2000 kipindi cha mambo hayo kilichokuwa kikirushwa ITV kilikuwa moto sana nchi nzima ilipata kushuhudia tulivyokuwa tunacheza, mfano wakati Bishanga alipomleta Waridi kama mchumba wake kule kijini kwetu...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani