PULJIM AWALILIA KASEJA, KIIZA, KAVUMBAGU; ATAKA WACHEZAJI KUJITAMBUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lANi_BpY7hc/VJcNg7bzaUI/AAAAAAAG43s/Qgz1Vi-cT0I/s72-c/5.jpg)
KOCHA wa Yanga Hans Van Puljim (pichani chini kulia) amedai kusikikitshwa na mlinda mlango Juma Kaseja (juu kushoto) kuingia kwenye bifu na uongozi wa klabu hiyo wakati alimtegemea kuongoza wachezaji wenzake siku za nyuma akiinoa timu hiyo.
Puljim ambaye alichukua nafasi ya Ernie Brandts mwaka jana kabla ya kutimuliwa mara baada ya mechi ya Mtani Jembe mwaka jana ambapo Yanga ilinyukwa mabao 3-1 alimtumia Kaseja kuwa nahodha katika kikosi chake lakini leo amesema anasikia uchungu kumkosa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Pluijm awalilia Kaseja, Kiiza
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Wachezaji mmelielewa vizuri soma la Kavumbagu?
KUNA tofauti kubwa ya mchezaji aliyezaliwa Tanzania na asiyezaliwa Tanzania.
9 years ago
Habarileo24 Nov
Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua
WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri
10 years ago
Habarileo21 Aug
JK awalilia waathirika ajali ya Tabora
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Dk. Ndugulile awalilia viongozi wa dini
VIONGOZI wa Kiislamu nchini wameombwa kuwaombea wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ili wapate busara na hekima katika kutengeneza Katiba mpya ya Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XM66Vw_rlwk/U5geWIdHt3I/AAAAAAAFpvo/95l6LGVS5T8/s72-c/unnamed.jpg)
MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XM66Vw_rlwk/U5geWIdHt3I/AAAAAAAFpvo/95l6LGVS5T8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...