Pluijm awalilia Kaseja, Kiiza
Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amesikitishwa na kitendo cha kuondoka kwa nyota wake Juma Kaseja, Hamisi Kiiza na Didier Kavumbagu, lakini akawataka wachezaji wake wasahau yaliyopita na waangalie yajayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lANi_BpY7hc/VJcNg7bzaUI/AAAAAAAG43s/Qgz1Vi-cT0I/s72-c/5.jpg)
PULJIM AWALILIA KASEJA, KIIZA, KAVUMBAGU; ATAKA WACHEZAJI KUJITAMBUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lANi_BpY7hc/VJcNg7bzaUI/AAAAAAAG43s/Qgz1Vi-cT0I/s1600/5.jpg)
Puljim ambaye alichukua nafasi ya Ernie Brandts mwaka jana kabla ya kutimuliwa mara baada ya mechi ya Mtani Jembe mwaka jana ambapo Yanga ilinyukwa mabao 3-1 alimtumia Kaseja kuwa nahodha katika kikosi chake lakini leo amesema anasikia uchungu kumkosa...
10 years ago
Habarileo21 Aug
JK awalilia waathirika ajali ya Tabora
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Dk. Ndugulile awalilia viongozi wa dini
VIONGOZI wa Kiislamu nchini wameombwa kuwaombea wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ili wapate busara na hekima katika kutengeneza Katiba mpya ya Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XM66Vw_rlwk/U5geWIdHt3I/AAAAAAAFpvo/95l6LGVS5T8/s72-c/unnamed.jpg)
MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XM66Vw_rlwk/U5geWIdHt3I/AAAAAAAFpvo/95l6LGVS5T8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Kiiza, Ngoma hapatoshi
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Kiiza aizamisha Express
9 years ago
Habarileo20 Sep
Kiiza asema abweteki
PAMOJA na kuanza vema Ligi Kuu huku akiwa amefunga mabao mawili, Hamis Kiiza amesema hawezi kusema hayo ni mafanikio.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Sasa ni zamu ya Kiiza
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGk0TsP5zYcRdyHNvZ9mPV6rkaCeo1UncrkLTHTy3lrYIZmOD0J7sgakg3B4c4rlg8HPZNs3DYd9MGk0hsdRfSA/ghjj.gif?width=650)
Kiiza atua Dar...