Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiiza asema abweteki

PAMOJA na kuanza vema Ligi Kuu huku akiwa amefunga mabao mawili, Hamis Kiiza amesema hawezi kusema hayo ni mafanikio.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kiiza, Ngoma hapatoshi

Wakati miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitakutana Jumamosi hii, pambano hilo linaonekana litanogeshwa zaidi na vita ya wachezaji wa kigeni kwa timu zote mbili.

 

10 years ago

GPL

Kiiza atua Dar...

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI Hamis Kiiza raia wa Uganda, jana alitua nchini kwa ajili ya kufanya mchakato wa kumalizana na Simba, ambapo kauli aliyotoa na maandalizi ya Simba, vimeonyesha kuwa pande zote mbili hazina utani katika kujiandaa na msimu ujao wa 2015/2016. Simba ambayo imeshaweka wazi kuhusu kumsajili Kiiza aliyekuwa akiitumikia Yanga kwa miaka kadhaa, imeelezwa kuwa anatarajiwa kukabidhiwa nyumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni zamu ya Kiiza

VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiiza aizamisha Express

 Mshambuliaji Hamis Kiiza alifunga bao pekee dakika 90 wakati Yanga wakiichapa Express 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Kiiza mchezaji bora Simba

KIIZANA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa timu hiyo, iliyotolewa kabla ya kuanza kwa mazoezi yao Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.

Kiiza amepewa zawadi ya tuzo yenye picha ya kiatu pamoja na mpira na kiasi cha fedha cha Sh 500,000, akiwapiku wachezaji wenzake ambao nao walikuwa wakiishindania. Tuzo hiyo ya Kiiza imetokana na moto wake wa kufunga mabao Ligi Kuu akiwa kileleni amefunga...

 

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza

Mshambuliaji tegemeo wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’ atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili akiuguza majeraha, lakini kocha Dylan Kerr na kiungo Justice Majabvi wamemtaja kinda, Joseph Kimwaga kama mtu mwenye uwezo wa kuziba pengo hilo.

 

9 years ago

Habarileo

Kiiza kupewa chake Jumamosi

MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Simba, Hamisi Kiiza ambaye aliibuka Mchezaji Bora wa mwezi atakabidhiwa zawadi yake ya Sh milioni moja mwishoni mwa wiki hii na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ammwagia sifa Kiiza

KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza ni aina ya wachezaji ambao ukiwa nao uwanjani unajua wakati wowote utafurahi.

 

11 years ago

TheCitizen

Okwi, Kiiza link up with Yanga

>Young Africans’ Ugandan forwards Emmanuel Okwi and Hamis Kiiza landed in Cairo yesterday where they linked up with teammates ahead of a decisive CAF Champions League match tomorrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani