Kiiza asema abweteki
PAMOJA na kuanza vema Ligi Kuu huku akiwa amefunga mabao mawili, Hamis Kiiza amesema hawezi kusema hayo ni mafanikio.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Kiiza, Ngoma hapatoshi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGk0TsP5zYcRdyHNvZ9mPV6rkaCeo1UncrkLTHTy3lrYIZmOD0J7sgakg3B4c4rlg8HPZNs3DYd9MGk0hsdRfSA/ghjj.gif?width=650)
Kiiza atua Dar...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Sasa ni zamu ya Kiiza
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Kiiza aizamisha Express
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Kiiza mchezaji bora Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa timu hiyo, iliyotolewa kabla ya kuanza kwa mazoezi yao Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Kiiza amepewa zawadi ya tuzo yenye picha ya kiatu pamoja na mpira na kiasi cha fedha cha Sh 500,000, akiwapiku wachezaji wenzake ambao nao walikuwa wakiishindania. Tuzo hiyo ya Kiiza imetokana na moto wake wa kufunga mabao Ligi Kuu akiwa kileleni amefunga...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza
9 years ago
Habarileo28 Oct
Kiiza kupewa chake Jumamosi
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Simba, Hamisi Kiiza ambaye aliibuka Mchezaji Bora wa mwezi atakabidhiwa zawadi yake ya Sh milioni moja mwishoni mwa wiki hii na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Kerr ammwagia sifa Kiiza
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza ni aina ya wachezaji ambao ukiwa nao uwanjani unajua wakati wowote utafurahi.
11 years ago
TheCitizen08 Mar
Okwi, Kiiza link up with Yanga