Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiiza aizamisha Express

 Mshambuliaji Hamis Kiiza alifunga bao pekee dakika 90 wakati Yanga wakiichapa Express 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KIIZA AIBEBA YANGA KWA GOLI LA 'FAIRPLAY' DHIDI YA EXPRESS YA UGANDA-Father Kidevu

Mabingwa mara 24 wa soka la Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam imewazamisha Express ya Uganda kwa goli 1-0 lilifungwa katika dakika ya 90 kufuatia mpira wa kurushwa uliotolewa nje baada ya mchezaji wa Xpress ya Uganda kuumia.
Mchezaji wa kulipwa wa Uganda, Hamisi Kiiza anaekipia na Yanga ndiye aliyepachika goli hilo ambalo hata hivyo lilionesha kulalamikiwa na benchi la ufundi la Express ambao walikuwa wakihoji tunawafundisha nini wachezaji juu ya Fair Play?Wachezaji wakiwania mpira wakati wa...

 

10 years ago

TheCitizen

Cannavaro aizamisha Coastal Union

Bao la nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’ limetosha kuiweka Yanga kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya kwanza mwaka huu wakichapa Coastal Union 1-0 kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina

Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

 

10 years ago

TheCitizen

Express yourself smartly

Being learned is not just what is in your head. A and B+ scores on the little transcript slip matter even less if you cannot express yourself, let alone handle the challenges life throws at you. Many brilliant graduates miss good jobs because they fail to impress interviewers.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga labour to down Express FC

An injury time goal by Young Africans’ striker Hamis Kiiza condemned visiting Uganda’s Express FC to a 1-0 defeat in an international friendly match at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Express share the spoils

Mainland giants Simba battled to a barren draw with visiting Express FC from Uganda in an international friendly match at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

Citizen News

Safari Express Plane Missing


Safari Express Plane Missing
Citizen News
A safari express plane with three passengers on board headed for Magadi from Mwanza, Tanzania has been reported missing. According to Kenya Airports Police, the air control officials in Dar-es-salaam said they lost touch of it soon after it took off on ...
Aircraft headed for Magadi with three on board goes missingThe Standard Digital News

all 3

 

9 years ago

Mwananchi

Kiiza, Ngoma hapatoshi

Wakati miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitakutana Jumamosi hii, pambano hilo linaonekana litanogeshwa zaidi na vita ya wachezaji wa kigeni kwa timu zote mbili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni zamu ya Kiiza

VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani