Kiiza, Ngoma hapatoshi
Wakati miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitakutana Jumamosi hii, pambano hilo linaonekana litanogeshwa zaidi na vita ya wachezaji wa kigeni kwa timu zote mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Nov
Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma
MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Hapa Ngoma, kule Tchetche hapatoshi
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
10 years ago
Michuzi
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
10 years ago
Vijimambo
NGOMA, NGOMA, NGOMA OYEEEE…
Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo mwana Kitoto hufanya ughaibuni. Usiku na mchana. Ninazionea fahari…Miaka mingi wengi wameniuliza watakujaje Majuu. Njia nzuri na rahisi sana ni kufanya mambo ya kwetu. Ngoma ni kitu kinachopendwa na wageni maana ni uhalisia na asili ya Mwafrika.
Juu hapa wanaonekana wanamuziki wawili wa Kitanzania wanaoishi Uingereza. Saidi Kanda na Fab Moses. Fab Moses...
10 years ago
Mtanzania16 Sep
Hapatoshi
*Lissu amjibu JK, asema Lowassa hahusiki na Richmond
Na Waandishi Wetu, Morogoro
MWANASHERIA mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemkingia kifua mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema hahusiki na sakata la Richmond.
Lissu ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kunukuliwa na gazeti moja akisema kuwa muhusika wa Richmond ni yule anayetembea na Lissu katika kampeni huku akimtaka amtaje kabla Rais Kikwete hajafanya hivyo.
Akizungumza...
11 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !

Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Kiiza aizamisha Express
10 years ago
GPL
Kiiza atua Dar...