Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiiza, Ngoma hapatoshi

Wakati miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitakutana Jumamosi hii, pambano hilo linaonekana litanogeshwa zaidi na vita ya wachezaji wa kigeni kwa timu zote mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma

MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Hapa Ngoma, kule Tchetche hapatoshi

Baada ya mapumziko ya kupisha michezo ya kimataifa, Yanga itawakaribisha Azam Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa ikijivunia ubora wa safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi Ammis Tambwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka

Vijana hawakati tamaa. Baada ya kuandika maneno yote yale wiki jana, huyu kijana ameona sasa njia ya kufuatilia ni kuandika kila wakati.

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA, NGOMA, NGOMA OYEEEE…

Kitoto ni ngoma ya Kusini, Tanzania. Kitoto kwangu ni mashangilizi ya ngoma na utamaduni wa Mwafrika.
Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo mwana Kitoto hufanya ughaibuni. Usiku na mchana. Ninazionea fahari…Miaka mingi wengi wameniuliza watakujaje Majuu. Njia nzuri na rahisi sana ni kufanya mambo ya kwetu. Ngoma ni kitu kinachopendwa na wageni maana ni uhalisia na asili ya Mwafrika.
Juu hapa wanaonekana wanamuziki wawili wa Kitanzania wanaoishi Uingereza. Saidi Kanda na Fab Moses. Fab Moses...

 

10 years ago

Mtanzania

Hapatoshi

Pg 1 lowassa*Lissu amjibu JK, asema Lowassa hahusiki na Richmond

Na Waandishi Wetu, Morogoro

MWANASHERIA mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemkingia kifua mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema hahusiki na sakata la Richmond.

Lissu ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kunukuliwa na gazeti moja akisema kuwa muhusika wa Richmond ni yule anayetembea na Lissu katika kampeni huku akimtaka amtaje kabla Rais Kikwete hajafanya hivyo.

Akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, The  Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni almarufu pia kama viumbe wa ajabu Anunnaki Aliens wenye makao nchi Ujerumani, inatuma salamu na saluti za kuitakia heri ya miaka 50 bendi kongwe barani afrika MSONDO NGOMA MUSIC BAND aka Baba ya Muziki ya watanzania ambayo mwezi Oktoba 2014 itatimiza miaka 50 na kuweka rekodi ya kuwa bendi kongwe pekee barani Afrika ! 
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiiza aizamisha Express

 Mshambuliaji Hamis Kiiza alifunga bao pekee dakika 90 wakati Yanga wakiichapa Express 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

Kiiza atua Dar...

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI Hamis Kiiza raia wa Uganda, jana alitua nchini kwa ajili ya kufanya mchakato wa kumalizana na Simba, ambapo kauli aliyotoa na maandalizi ya Simba, vimeonyesha kuwa pande zote mbili hazina utani katika kujiandaa na msimu ujao wa 2015/2016. Simba ambayo imeshaweka wazi kuhusu kumsajili Kiiza aliyekuwa akiitumikia Yanga kwa miaka kadhaa, imeelezwa kuwa anatarajiwa kukabidhiwa nyumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani