Hapatoshi
*Lissu amjibu JK, asema Lowassa hahusiki na Richmond
Na Waandishi Wetu, Morogoro
MWANASHERIA mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemkingia kifua mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema hahusiki na sakata la Richmond.
Lissu ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kunukuliwa na gazeti moja akisema kuwa muhusika wa Richmond ni yule anayetembea na Lissu katika kampeni huku akimtaka amtaje kabla Rais Kikwete hajafanya hivyo.
Akizungumza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Kiiza, Ngoma hapatoshi
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Hapatoshi vigogo England
9 years ago
Habarileo07 Jan
Yanga, Mtibwa hapatoshi
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo watakuwa na kazi nzito watakapomenyana na Mtibwa Sugar katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Brazil, Ujerumani hapatoshi
10 years ago
GPLRAY, DAVINA HAPATOSHI!
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yanga, KMKM hapatoshi
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.
Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.
Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Hapatoshi CCM Dodoma
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Bayern, Real hapatoshi
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Maguli, Kwizera Simba hapatoshi