Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hapatoshi

Pg 1 lowassa*Lissu amjibu JK, asema Lowassa hahusiki na Richmond

Na Waandishi Wetu, Morogoro

MWANASHERIA mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemkingia kifua mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema hahusiki na sakata la Richmond.

Lissu ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kunukuliwa na gazeti moja akisema kuwa muhusika wa Richmond ni yule anayetembea na Lissu katika kampeni huku akimtaka amtaje kabla Rais Kikwete hajafanya hivyo.

Akizungumza...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kiiza, Ngoma hapatoshi

Wakati miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitakutana Jumamosi hii, pambano hilo linaonekana litanogeshwa zaidi na vita ya wachezaji wa kigeni kwa timu zote mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Hapatoshi vigogo England

Mbio za kusaka ubingwa Ligi Kuu England msimu huu zinaendelea kwa Chelsea kuivaa Swansea leo, huku mabingwa watetezi Manchester City wakiikaribisha Arsenal kesho kwenye Uwanja wa Etihad.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Mtibwa hapatoshi

MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo watakuwa na kazi nzito watakapomenyana na Mtibwa Sugar katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil, Ujerumani hapatoshi

Brazil imejikatia tiketi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuilaza Colombia mabao 2-1 katika mechi ngumu ya robo fainali.

 

10 years ago

GPL

RAY, DAVINA HAPATOSHI!

Imelda Mtema
HAPATOSHI! Mkongwe wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na mwigizaji mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ nusura wazichape kavukavu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar baada ya Ray kudaiwa kumshika mwenzake huyo sehemu nyeti, Risasi Mchanganyiko lina mchapo kamili. Staa wa Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kilikuwa shuhuda wa tukio...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yanga, KMKM hapatoshi

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.

Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.

Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...

 

10 years ago

Mwananchi

Hapatoshi CCM Dodoma

Kumekucha na Hapatoshi mjini Dodoma. Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea hali ilivyo mjini hapa, wiki mbili kabla ya vikao vya juu vya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuanza kazi ya kumtafuta mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, Real hapatoshi

>Mabingwa watetezi Bayern Munich leo watakuwa na kazi kubwa ya kuhakikisha inaichapa Real Madrid wakiwa kwenye uwanja wa wake wa nyumbani ili kujihakikishia kubaki katika mashindano hayo ya  Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Maguli, Kwizera Simba hapatoshi

>Safu ya ushambuliaji ya Simba imeimarika baada ya kumsajili mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Elias Maguli pamoja na kuwasili kwa kiungo Mrundi Pierre Kwizera (23) jana mchana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani