Kiiza kupewa chake Jumamosi
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Simba, Hamisi Kiiza ambaye aliibuka Mchezaji Bora wa mwezi atakabidhiwa zawadi yake ya Sh milioni moja mwishoni mwa wiki hii na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
VODACOM KUMKABIDHI KIIZA KITITA CHAKE
Mshambuliaji wa Simba, Hamis Kiiza. MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza, anatarajiwa kukabidhiwa zawadi yake ya Sh milioni 1/-ya Mchezaji Bora wa Mwezi na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara, kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, baada ya kuibuka kidedea Septemba. Kiiza alichaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Septemba baada ya kufanya vema katika mwezi wa kwanza wa ligi hiyo, akiisaidia timu yake ya Simba...
10 years ago
Michuzi
HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

10 years ago
Michuzi.jpg)
SIKU YA WALEMAVU DUNIANI ZANZIBAR YASHEREHEKEWA KITAIFA CHAKE CHAKE, PEMBA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
VijimamboJENGO SKULI MPYA YA MICHAKAINI WILAYA YA CHAKE CHAKE YAFUNGULIWA RASMI
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AUNGURUMA VIWANJA VYA TIBIRIZI, CHAKE CHAKE PEMBA
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema iwapo atachaguliwa kuwa...
10 years ago
Vijimambo
BALOZI IDDI AZINDUA UKUMBI WA MIKUTANO WA MAKONYO CHAKE CHAKE PEMBA


10 years ago
Vijimambo
KINANA AZUNGUMUZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA CHAKE CHAKE PEMBA




10 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Live, Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, CCM — Gombani Chake Chake, Pemba.
Sikiliza mkutano huu moja kwa moja kupitia channel hii http://mixlr.com/muumbela
The post Live, Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, CCM – Gombani Chake Chake, Pemba. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziMWAKILISHI JIMBO LA CHAKE CHAKE APELEKEKA HOSPITALI DAWA NA VIFAA TIBA VILIVYOPITA MUDA WA MATUMIZI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-May-2025 in Tanzania