Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK awalilia waathirika ajali ya Tabora

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waathirika wa ajali ya moto Pemba wasaidiwa

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba , Dadi Faki Dadi, amezipongeza taasisi za Serikali na watu binafsi kwa kusaidia watu waliopatwa na ajali ya nyumba zao kuteketea kwa moto huko Pemba. Dadi alitoa kauli hiyo wakati akipokea bidhaa mbalimbali za vyakula na mchele, unga wa ngano pamoja na sukari vikiwa na thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa uongozi wa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC).

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu awatembelea waathirika wa ajali

WAZIRI Mkuu M i z e n g o Pinda amewatembelea askari Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyopata juzi wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani Chunya.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA

Watu 16 wamepoteza maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la AM likitoka Mwanza-Mpanda kugongana na basi lingine la Sabena linalofanya safari zake Mbeya - Tabora katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali zaua 8 Tabora, Morogoro

Kamanda wa Polisi Tabora, Suzan KagandaWATU wanane wamekufa papo hapo, huku wengine 50 wakijeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti zilizotokea Tabora na Morogoro jana.

 

10 years ago

Habarileo

Maiti 13 wa ajali ya Tabora watambuliwa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaMAITI za watu 13 kati ya 16 waliokufa katika ajali ya mabasi yaliyogongana juzi mkoani Tabora, zimetambuliwa na ndugu zao.

 

10 years ago

CloudsFM

ajali yaua watu saba Tabora

Basi la kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mbaya Igunga ambapo watu saba wanadaiwa kupoteza maisha katika eneo la Makomero wilayani Igunga, mkoani Tabora.Inadaiwa kuwa mbali na kuua pia abiria wengi wamejeruhiwa baada ya basi hilo la Mohammed Trans kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka huku kukiwa na taarifa zingine kuwa ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kugonga shimo. Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora

>Mtu mmoja amekufa na wengine watano kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Land Cruiser mali ya Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One, iliyotokea eneo la Ilolangulu wilayani Uyui.

 

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA

Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo ilipotokea. Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi…

 

9 years ago

MillardAyo

Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..

December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12  walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]

The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani