JK awalilia waathirika ajali ya Tabora
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waathirika wa ajali ya moto Pemba wasaidiwa
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba , Dadi Faki Dadi, amezipongeza taasisi za Serikali na watu binafsi kwa kusaidia watu waliopatwa na ajali ya nyumba zao kuteketea kwa moto huko Pemba. Dadi alitoa kauli hiyo wakati akipokea bidhaa mbalimbali za vyakula na mchele, unga wa ngano pamoja na sukari vikiwa na thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa uongozi wa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC).
10 years ago
Habarileo02 Mar
Waziri Mkuu awatembelea waathirika wa ajali
WAZIRI Mkuu M i z e n g o Pinda amewatembelea askari Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyopata juzi wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani Chunya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdO0Gmm49Py-NNsCMRIYLcekNO-at-gALrqai7euc27mE19-RfjPkuFYW9Gm3yJKRZM8B1dpm6K2T-PNVHUVuJ2P/breakingnews.gif)
AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA
10 years ago
Habarileo17 Dec
Ajali zaua 8 Tabora, Morogoro
WATU wanane wamekufa papo hapo, huku wengine 50 wakijeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti zilizotokea Tabora na Morogoro jana.
10 years ago
Habarileo21 Aug
Maiti 13 wa ajali ya Tabora watambuliwa
MAITI za watu 13 kati ya 16 waliokufa katika ajali ya mabasi yaliyogongana juzi mkoani Tabora, zimetambuliwa na ndugu zao.
10 years ago
CloudsFM17 Dec
ajali yaua watu saba Tabora
Basi la kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mbaya Igunga ambapo watu saba wanadaiwa kupoteza maisha katika eneo la Makomero wilayani Igunga, mkoani Tabora.
Inadaiwa kuwa mbali na kuua pia abiria wengi wamejeruhiwa baada ya basi hilo la Mohammed Trans kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka huku kukiwa na taarifa zingine kuwa ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kugonga shimo.
Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuzok*gZsri*eUzWfAnx5jfzNu3jR57kqH7McXxnHx9*h*3mBGBE-YQGzbARFSdiiMHPjBF-c*LIpO3h2vPSi75/IMG20141216WA0003.jpg?width=650)
AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12 walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]
The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.