ajali yaua watu saba Tabora
Basi la kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mbaya Igunga ambapo watu saba wanadaiwa kupoteza maisha katika eneo la Makomero wilayani Igunga, mkoani Tabora.
Inadaiwa kuwa mbali na kuua pia abiria wengi wamejeruhiwa baada ya basi hilo la Mohammed Trans kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka huku kukiwa na taarifa zingine kuwa ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kugonga shimo.
Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuzok*gZsri*eUzWfAnx5jfzNu3jR57kqH7McXxnHx9*h*3mBGBE-YQGzbARFSdiiMHPjBF-c*LIpO3h2vPSi75/IMG20141216WA0003.jpg?width=650)
AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Ajali yaua saba Chalinze
WATU saba wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Ajali hiyo ilitokea juzi majira ya saa 2:30 usiku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdO0Gmm49Py-NNsCMRIYLcekNO-at-gALrqai7euc27mE19-RfjPkuFYW9Gm3yJKRZM8B1dpm6K2T-PNVHUVuJ2P/breakingnews.gif)
AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mifuko ya magari yaua watu saba
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/86.jpg)
AJALI YAUA WATU 42 UFARANSA
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Ajali yaua watu 17 Tanzania
11 years ago
Habarileo20 Apr
Ajali zaua watu saba
WATU saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara.