Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua saba Chalinze

WATU saba wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Ajali hiyo ilitokea juzi majira ya saa 2:30 usiku...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

ajali yaua watu saba Tabora

Basi la kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mbaya Igunga ambapo watu saba wanadaiwa kupoteza maisha katika eneo la Makomero wilayani Igunga, mkoani Tabora.Inadaiwa kuwa mbali na kuua pia abiria wengi wamejeruhiwa baada ya basi hilo la Mohammed Trans kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka huku kukiwa na taarifa zingine kuwa ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kugonga shimo. Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA

Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo ilipotokea. Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi…

 

11 years ago

Michuzi

BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA

 Basi la Kampuni ya J4 EXPRESS lenye nambari za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari Mkoani Mara likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na Basi lingine la Kampuni ya MWANZA COACH lenye nambari za usajili T 736 AWJ katika eneo la SabaSaba,Mjini Musoma mchana huu.

Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...

 

9 years ago

Mwananchi

Hiace yaua saba na kujeruhi

Watu saba wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyata Hiace lililokuwa likitokea Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Subankala wilayani Uvinza kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Mwakizega.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mifuko ya magari yaua watu saba

Mamlaka ya usalama nchini Marekani wamependekeza kampuni ya Takata, kupigwa faini ya zaidi ya dola za kimarekani milioni mbili baada ya mifuko hiyo kusababisha vifo vya watu saba .

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 23

Mkuu wa wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita akiwatembelea majeruhi hospitali ya Wilaya mjini Mafinga (Picha na Frank Leonard).WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.

 

11 years ago

Mtanzania

Ajali yaua 19

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga

WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.

Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

 

11 years ago

GPL

AJALI YAUA 8 NJOMBE

WATU nane wamefariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba shehena ya mpunga lililokuwa likitokea Chimala mkoani Mbeya kuelekea Makambako mkoani Njombe kupata ajali na kutumbukia katika Mto Halali leo asubuhi wilayani Wanging'ombe, Njombe. Lori hilo lilitumbukia mtoni baada ya kugonga ukingo wa daraja la mto Halali. Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Esterina Kilasi amethibitisha kutokea tukio… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani