Waathirika wa ajali ya moto Pemba wasaidiwa
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba , Dadi Faki Dadi, amezipongeza taasisi za Serikali na watu binafsi kwa kusaidia watu waliopatwa na ajali ya nyumba zao kuteketea kwa moto huko Pemba. Dadi alitoa kauli hiyo wakati akipokea bidhaa mbalimbali za vyakula na mchele, unga wa ngano pamoja na sukari vikiwa na thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa uongozi wa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jan
Waliopata majanga ya moto Pemba wasaidiwa
JUMUIYA ya Muzdalifa yenye makao makuu yake Pemba imetoa misaada wa bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo kwa familia na watu ambao nyumba zao zimeteketea kwa moto huko Shumba, mjini Pemba.
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...
10 years ago
Habarileo21 Aug
JK awalilia waathirika ajali ya Tabora
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waathirika wa moto Karume wahamishiwe Machinga Complex
10 years ago
Habarileo02 Mar
Waziri Mkuu awatembelea waathirika wa ajali
WAZIRI Mkuu M i z e n g o Pinda amewatembelea askari Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyopata juzi wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani Chunya.
9 years ago
VijimamboMWANAFAMILIA ACHOMA MOTO NYUMBA YAO PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9iGMJNZXTR4/VItRaqn-S7I/AAAAAAAG24M/pWDLBcdGaG8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
msako wa KARAFUU CHAFU kisiwani PEMBA wapamba moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-9iGMJNZXTR4/VItRaqn-S7I/AAAAAAAG24M/pWDLBcdGaG8/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YDcHBmv52TQ/VItRatR385I/AAAAAAAG24Y/0PMUOuc9kWI/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HfqP-oWjzbM/VItRbMdP9xI/AAAAAAAG24Q/1_0jxvXRAEY/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
Mwananchi03 May
Ajali ya mtumbwi yaua mmoja Kaskazini Pemba
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12 walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]
The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.