Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya mtumbwi yaua mmoja Kaskazini Pemba

>Mtu mmoja amefariki dunia na wengine watatu kunusurika baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka kwenye mashamba ya mwani kupigwa na mawimbi na kuzama  baharini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali ya mtumbwi yaua watatu

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

GPL

AJALI YAUA MMOJA TARIME

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Fatuma Juma (35), amefariki dunia huku wengine watano wakijeruhiwa baada ya basi la Zakaria Express lenye namba T 405 CLT lililokuwa likitoka Sirari kwenda Mwanza kuacha njia na kupinduka leo asubuhi huko Tarime mkoani Mara. Kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo, basi hilo lilikuwa likijaribu kukwepa lori pamoja na ng'ombe ndipo lilipoacha njia na kupinduka. Majeruhi wa ajali hiyo...

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA MMOJA, 25 WAKIJERUHIWA NZEGA

Basi la abiria la Jordani baada ya kupinduka wilayani Nzega leo. Mashuhuda wa ajali hiyo wakiwa eneo la tukio. Marehemu katika ajali hiyo akiwa amelaliwa na basi hilo. MTU mmoja amefariki dunia huku 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lililopinduka leo wilayani Nzega,…

 

10 years ago

Mtanzania

Ajali nyingine yaua mmoja, yajeruhi 28

air jordanNa Thomas Murugwa, Tabora
BASI la Kampuni ya Air Jordan lenye namba za usajili T 650 AQZ lililokuwa likitokea Mwanza kuelekea Arusha, limepata ajali katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Kitangili, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 28.
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jackline Liana, imemtaja aliyefariki dunia kwa jina moja la Emmanuel ambaye alikuwa ni fundi wa gari hilo.
Alisema sababu ya ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva ambaye jina...

 

11 years ago

Michuzi

AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA

Leo majira ya saa kumi alfajiri kumetokea ajali ya maporomoko ya mawe katika eneo la juu la Mlima Kilimanjaro la Hans Meyer na kusababisha kifo kwa mwanafunzi Malata Thomas kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli .Aidha, mwanafunzi mwingine Matenga S.J alivunjika mguu wake na anaendelea na matibabu katika hospitali ya KCMC mjini Moshi. Wanajeshi hawa walikuwa pamoja na wenzao 265 walikuwa katika mafunzo yao ya kawaida ya ukakamavu katika Mlima Kilimanjaro.
Shirika la Hifadhi za Taifa...

 

9 years ago

Mtanzania

Ajali ya basi yaua mmoja, yajeruhi 46

NA ABDALLAH AMIRI, IGUNGA

MTU mmoja, amefariki dunia papo hapo na wengine 46 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya ALLY’S lenye namba za usajili T 560 AKW aina ya Scania, kupinduka katika Kijiji cha Igogo, Kata ya Nanga, Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora.

Ajali hiyo ilitokea jana, saa 12 alfajiri wakati basi hilo lilipokuwa likitoka wilayani Igunga kwenda jijini Mwanza.

Wakizungumza na MTANZANIA eneo la tukio baada ya ajali hiyo, mmoja wa abiria aliyenusurika, Emmanuel Julius (32),...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA SIMBA MTOTO NA FUSO YAUA MMOJA

Fuso likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Simba Mtoto. Basi la Simba Mtoto baada ya ajali.…

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT:AJALI YAUA MTU MMOJA IRINGA

baada ya ajali hiyo,  Inavyoonekana kwa nyuma hii ni sehemu ya mbele ya gari hilo Scania lililogongwa kwa nyuma. Sehemu ambayo gari hilo dogo liliingia. AJALI mbaya iliyohusisha gari dogo aina ya Land Rover Freelander lenye namba T368 CVK na roli la mizigo aina ya Scania lenye namba T346 BRF imetokea usiku wa juzi katika eneo la Lugemba, kilomita kadhaa kabla ya kufika mji wa Mafinga.
Taarifa za awali zinaonesha kwamba dereva wa gari hilo jina lake bado halijapatikana ...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja

Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani