Waziri Mkuu awatembelea waathirika wa ajali
WAZIRI Mkuu M i z e n g o Pinda amewatembelea askari Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyopata juzi wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani Chunya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OW2MOxjTk2I/VePLe-FUY4I/AAAAAAAH1Hs/zYMpXyZGFz4/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA YA MAWE NA UPEPO MWAKATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OW2MOxjTk2I/VePLe-FUY4I/AAAAAAAH1Hs/zYMpXyZGFz4/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mKwlVYTw7wo/VePLfkwA8QI/AAAAAAAH1Hw/IjJTUgalN9k/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege
10 years ago
Habarileo21 Aug
JK awalilia waathirika ajali ya Tabora
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora.
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waathirika wa ajali ya moto Pemba wasaidiwa
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba , Dadi Faki Dadi, amezipongeza taasisi za Serikali na watu binafsi kwa kusaidia watu waliopatwa na ajali ya nyumba zao kuteketea kwa moto huko Pemba. Dadi alitoa kauli hiyo wakati akipokea bidhaa mbalimbali za vyakula na mchele, unga wa ngano pamoja na sukari vikiwa na thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa uongozi wa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC).
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Apr
NYANZA: Waziri Kamani awafariji waathirika wa mafuriko
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12 walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]
The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA