Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji mmelielewa vizuri soma la Kavumbagu?

KUNA tofauti kubwa ya mchezaji aliyezaliwa Tanzania na asiyezaliwa Tanzania.

Abdul Mkeyenge

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PULJIM AWALILIA KASEJA, KIIZA, KAVUMBAGU; ATAKA WACHEZAJI KUJITAMBUA


KOCHA wa Yanga Hans Van Puljim (pichani chini kulia) amedai kusikikitshwa na mlinda mlango Juma Kaseja (juu kushoto) kuingia kwenye bifu na uongozi wa klabu hiyo wakati alimtegemea kuongoza wachezaji wenzake siku za nyuma akiinoa timu hiyo.


Puljim ambaye alichukua nafasi ya Ernie Brandts mwaka jana kabla ya  kutimuliwa mara baada ya mechi ya Mtani Jembe mwaka jana ambapo Yanga ilinyukwa mabao 3-1 alimtumia Kaseja kuwa nahodha katika kikosi chake lakini leo amesema anasikia uchungu kumkosa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji wasome vizuri mikataba yao

Taarifa za msanii Diamond Platinumz kuwa kiini cha vurugu katika onyesho lililoshindwa kufanyika baada ya kuchelewa kupanda jukwaani kutumbuiza nchini Ujerumani, zimechafua jina lake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anataka vipimo bora vya dawa za kusisimua misuli kuchukuliwa mara kwa mara miongoni mwa wachezaji.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu mali ya Yanga

Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kavumbagu atua Azam FC

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Azam FC, wamemtwaa mshambuliaji mahiri wa Yanga, Didier Kavumbagu na kumwaga wino kukipiga Azam Complex kwa mwaka mmoja. Kavumbagu alitua Yanga mwaka 2013 akitokea Atletico...

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm amsikitikia Kavumbagu

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amekiri kwamba kuondoka kwa mshambuliaji wake Didier Kavumbagu ni pigo kwa klabu hiyo, lakini amesema ana imani pengo lake litazibwa kikamilifu.

 

9 years ago

Habarileo

Kavumbagu hauzwi- Hall

KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.

 

11 years ago

Mwananchi

USAJILI: Kavumbagu asaini Azam

>Harakati za usajili jana zilishika kasi wakati klabu ya Yanga ilipopata ‘pigo la mwaka’ baada ya mtikisaji wake nyavu, Didier Kavumbagu (pichani) kutia wino kwenye fomu za mabingwa wapya wa soka nchini, Azam FC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani