Pinda amkabidhi ofisi Majaliwa
WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kumtaka aimarishe ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Pinda amkabidhi mikoba Majaliwa
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA
9 years ago
StarTV02 Dec
 Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhiwa Ofisi,  Pinda amtaka kuimarisha ufuatiliaji maagizo
Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasim Majaliwa.
Mheshimiwa Pinda amemtaka Waziri Mkuu Majaliwa kuimarisha ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.
Akizungumza wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Pinda amesema katika kipindi cha uongozi wake kulikuwa na ucheleweshaji wa kupata majibu kutoka ngazi ya chini katika maelekezo aliyokuwa akitoa.
Amemtaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GgLJCqSqMN0/VMX4mAyxlYI/AAAAAAAG_eg/7uiUCOCnfes/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mhe. Angellah Kairuki amkabidhi Ofisi Mhe. Ummy Mwalimu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-GgLJCqSqMN0/VMX4mAyxlYI/AAAAAAAG_eg/7uiUCOCnfes/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kZ7n2uClPdU/VMX4ipfprfI/AAAAAAAG_eU/OwzeQWFZ4Aw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R5gaSmj7sqY/VMX4ijMRdEI/AAAAAAAG_eQ/jYQaoN8r51w/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJNs3aXz5L-x*E1qNVQgT0nIKpwLOaHSALO8hjOrqO1H2O7ePMiiUnNyM0JzUwz*Gz1fgEjRtYQ89FubhNrtvQ2/unnamed45.jpg?width=650)
MHE. ANGELLAH KAIRUKI AMKABIDHI OFISI MHE. UMMY MWALIMU
10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA LEO
9 years ago
Habarileo24 Nov
Majaliwa ataka watumishi wa ofisi yake kujitambua
WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu watambue jukumu walilonalo la kuwahudumia wananchi kutokana na majukumu ya ofisi hiyo yanayogusa maisha ya kila siku ya Watanzania.
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2015/2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s640/unnamed%2B(25).jpg)
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba kutokana na Taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Uchumi, Viwanda na Biashara na Kamati ya Masuala ya UKIMWI zilizochambua Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge lako sasa lipokee na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10