Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stand Utd kuanika vifaa vyake Agosti 4

TIMU ya Stand United ya Shinyanga, imeandaa tamasha maalum litakalojulikana kama ‘Stand United Day’ litakalofanyika Agosti 4,  kutambulisha nyota wapya kuelekea Ligi Kuu Tanzania bara. Hesabu za timu hiyo, ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Stand Utd safi

Timu ya Stand United imepata udhamini wa Sh50 milioni  kutoka Kampuni ya Double Star Tire.

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa yaifuata Stand Utd

MTIBWA Sugar wameifuata Stand United ya Shinyanga kwa ajili ya mchezo wa ligi utakaochezwa keshokutwa. Mchezo huo utachezwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga kwa ajili ya kusaka ushindi wa kwanza utakaoziweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.

 

10 years ago

Habarileo

Liewing afurahia wakongwe Stand Utd

KOCHA wa Stand United, Patrick Liewig amefurahia kuwepo kwa Masoud Nassoro, Haroun Chanongo na Amri Kiemba kwenye kikosi chake.

 

10 years ago

TheCitizen

Stand Utd target survival after Simba victory

After edging giants Simba SC 1-0 in the Vodacom Premier League, Stand United FC head coach Matia Lule says he is proud of his charges and now targets to save them from the drop.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Moro, Ndanda FC na Stand Utd zinakuja na lipi?

TIMU tatu zitakazochukua nafasi ya zitakazoshuka Ligi Kuu msimu huu, zimeshajulikana baada ya kufanya kweli katika Ligi Daraja la Kwanza. Hizo ni Polisi Morogoro iliyorejea Ligi Kuu ambapo tayari imepanda...

 

5 years ago

Michuzi

Kampuni ya Green Miles yatakiwa kuondoa vifaa vyake Kitalu cha Lake Natron.

 Mwandishi wetu,Longido
Mamlaka ya usimamizi wanyamapori nchini(TAWA) imetaka Kampuni ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha uwindaji cha Lake Natron (East),kuondoa vifaa vyake.
Kampuni hiyo iliondolewa na Serikali tangu, January 22 lakini hadi Jana watendaji wa Kampuni hiyo walikuwa hawajajitokeza  kuondoa vifaa vyao kwenye kambi inayolindwa na Askari wa TAWA,polisi na askari mgambo .
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla  Agost 7 mwaka jana alitangaza uamuzi wa Serikali...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa jana, Jumamosi, Februari 22, 2014, aliongoza harambee ya kupatikana kwa zaidi ya sh milioni 600 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kisasa vya matibabu kwa ajili ya Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, Dar Es Salaam.  Katika halfa hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam, Rais Kikwete pia ameahidi kuendeleza kuongoza jitihada za kupatikana kwa kiasi cha sh milioni 328...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Scholes: Mam Utd yahitaji vifaa sita

MCHEZAJI wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amesema kikosi cha timu hiyo kinapaswa kuongezwa nguvu kwa usajili wa nyota wapya sita ili kurejea katika makali yake chini ya Kocha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani