Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha aipa nafasi Azam

Kocha wa klabu ya TP Mazembe, Carteron Patrice amesema kama Azam itaendelea na kasi iliyoionyesha katika mchezo wao wa juzi, wataiondosha El -Merrikh ya Sudan katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kocha Mourinho aipa taji Man City

>Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesisitiza Manchester City bado wananafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu pamoja na kikosi chake kukalia usukani kwa mara ya kwanza tangu Septemba.

 

10 years ago

Habarileo

Malinzi aipa tano Azam

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa klabu ya Azam FC kwa kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame inayotimua vumbi jijini Dar es Salam.

 

11 years ago

GPL

Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall, raia wa Uingereza, ameibuka na kuielekeza Yanga cha kufanya kama kweli inataka kuiondoa Al Ahly ya Misri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatarajiwa kuumana na mabingwa hao watetezi kwenye mchezo wa hatua ya pili ya michuano hiyo baada ya kuifunga Komorozine ya Comoro kwa jumla ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Yanga: ‘Kila nafasi bao’

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amewataka wachezaji wake kuhakikisha wanatumia kila nafasi wanayopata kufunga bao dhidi ya Al Ahly ya Misri.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Pluijm ampa nafasi Samatta Ulaya

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kwa kuiwezesha TP Mazembe kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na kumshauri sasa ni wakati wake wa kucheza soka la kulipwa Ulaya.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaachana na kocha

ZIKIWA zimesalia takriban siku mbili kabla ya mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga, Azam imeachana na kocha msaidizi George Nsimbe baada ya kufikia makubaliano. Akizungumza jijini jana, Ofisa habari wa Azam FC, Jafar Iddi alithibitisha kuondoka kwa Nsimbe na kusema nafasi yake imechukuliwa na Romano aliyekuwa timu B.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam aenda likizo

Kocha mpya wa Azam, FC Joseph Omog ameondoka nchini mwishoni wa wiki kuelekea Cameroon na kumwachia majukumu msaidizi wake Kali Ongala.

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Azam aipania Ndanda

Stewart-HallNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.

Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.

Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Azam alia na waamuzi

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani