Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi aipa tano Azam

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa klabu ya Azam FC kwa kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame inayotimua vumbi jijini Dar es Salam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga

Kocha Mjerumani aliyebwaga manyanga ya kuinoa Toto Africans, Martin Grelics amesifu aina ya soka ambalo timu ya Simba imekuwa ikicheza, huku akishangazwa na kiwango cha Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Malinzi awapa tano Taifa Stars

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha aipa nafasi Azam

Kocha wa klabu ya TP Mazembe, Carteron Patrice amesema kama Azam itaendelea na kasi iliyoionyesha katika mchezo wao wa juzi, wataiondosha El -Merrikh ya Sudan katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Jamal Malinzi aipongeza Azam

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameipongeza Azam kwa kutwaa ubingwa na kudai kuwa si Tanzania tu iliyozizima bali Afrika kwa ujumla.

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL

Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampumi hiyo, Salum Mwalim. Mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wameipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2013/2014 ikiwa ni Mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake miaka 7 iliyopita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Mbeya City na Azam FC kwenye uwanja wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda aipa somo TIC

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amekitaka Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuhakikisha kinafanya kazi na kutoa mchango katika mkakati wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Pinda alitoa rai hiyo wakati wa kuizindua...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aipa moyo Stars

RAIS Jakaya Kikwete ameitia moyo timu ya Taifa, Taifa Stars na kuwataka wasikate tamaa kwani wanaweza kuifunga Algeria. Taifa Stars inatarajia kucheza hatua ya pili dhidi ya Algeria katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi katika mchezo utakaochezwa Novemba 14, mwaka huu Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bale aipa ushindi Wales

Timu ya taifa ya Wales imeshinda mabao 2 dhidi ya Andora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani