Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga
Kocha Mjerumani aliyebwaga manyanga ya kuinoa Toto Africans, Martin Grelics amesifu aina ya soka ambalo timu ya Simba imekuwa ikicheza, huku akishangazwa na kiwango cha Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Mjerumani aziita Simba, Yanga
Kocha Martin Grelics aliyejiuzulu kuifundisha Toto Africans hivi karibuni, amesema yuko tayari kuzifundisha Simba au Yanga iwapo zitahitaji huduma yake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppqzvoYONixoqv6ShZlux6XyrjFJOpu*XzSsjEMuEzzUTYr0qnm3ULcN*p92CTm4NGYs2PAyn4S4d4lUrWUgRG8/2.jpg?width=650)
Mechi tano za Yanga zaiondoa Simba Caf
Na Sweetbert Lukonge
ENDAPOÂ Yanga na Azam zitafanikiwa kushinda mechi zake tano kati ya tisa zilizobakiza, zitakuwa zimeinyima Simba nafasi ya kushiriki tena michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Msimu uliopita Simba ilikosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo ya kimataifa baada ya kushindwa kufanya vizuri ligi kuu na kuziacha Yanga na Azam zikiiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo ya...
10 years ago
Habarileo31 Jul
Malinzi aipa tano Azam
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa klabu ya Azam FC kwa kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame inayotimua vumbi jijini Dar es Salam.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Ivo aishangaa Yanga
Kipa namba moja wa Simba, Ivo Mapunda amesema kitendo cha watani zao Yanga kuamini ushirikina ndani ya uwanja ipo siku kitawagharimu.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha Komorozine aishangaa Yanga
Kocha wa Komorozine, Yadhuddine Chaanbane amesema amekubali kipigo cha mabao 5-2, lakini anashukuru timu yake kucheza katika kiwango kizuri huku Yanga ikicheza soka la chini kuliko ilivyocheza Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi18 May
MASLAHI: Goran aishangaa Simba kumtosa
>Kocha Goran Kopunovic amesema kiasi cha dola 20,000 pekee ndiyo kimemyima ajira ya kuendelea kuifundisha Simba kwa ajili ya msimu ujao.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga
Licha ya kuisifu Yanga kama moja ya timu kubwa na bora nchini, kocha mkuu wa Toto Africans ya Mwanza, Martin Glerics amesema hatambui kama kuna undugu kati ya timu hizo na atahakikisha anaifunga kila atakapokutana nayo.
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba
Mshambuliaji mahiri wa Mtibwa Sugar, Musa Hassan ‘Mgosi’ ameitaka klabu yake ya zamani ya Simba kuvunja benki kama kweli ina nia ya dhati ya kupata saini yake kwenye kipindi hiki cha usajili.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Makoye aipa Simba siri ya mafanikio
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo†amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania