Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makoye aipa Simba siri ya mafanikio

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo” amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Balozi aipa Yanga siri za Platinum

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu amesema wapinzani wa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika, FC Platinum sasa wanafanya mbinu zote usiku na mchana kuhakikisha wanashinda mchezo huo wa marudiano.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgosi aipa masharti mazito Simba

Mshambuliaji mahiri wa Mtibwa Sugar, Musa Hassan ‘Mgosi’ ameitaka klabu yake ya zamani ya Simba kuvunja benki kama kweli ina nia ya dhati ya kupata saini yake kwenye kipindi hiki cha usajili.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya mafanikio St Francis

Mkuu wa Shule ya Sekondari St Francis ya mkaoni Mbeya iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa katika Matokeo ya Kidato cha Nne yaliyotangazwa jana, Sista Flossy Sequira amesema kuwa alikuwa na uhakika kwamba shule yake ingefanya vizuri kwenye mtihani huo, huku akitaja siri ya mafanikio.

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga

Kocha Mjerumani aliyebwaga manyanga ya kuinoa Toto Africans, Martin Grelics amesifu aina ya soka ambalo timu ya Simba imekuwa ikicheza, huku akishangazwa na kiwango cha Yanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunadanganywa na hadithi za ‘siri ya mafanikio’

Wiki mbili zilizopita nilizungumzia kuhusu orodha ya matajiri katika Jarida maarufu la Forbes. Ukiangalia mtandao wao utagundua kuwa watu wengi duniani huutembelea kutazama nani kapanda nani kashuka katika nyanja mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond aeleza siri ya mafanikio

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ amesema mafanikio yake yanatokana na kujituma kwa kiwango kikubwa na jinsi anavyojua kuishi vizuri na watu hasa mashabiki wake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siri ya mafanikio ya Himid Mao hadharani

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima katika safu mpya ya ‘Jicho Letu Mitandaoni’ itakayokuwa ikikujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Singano ‘Messi’ afichua siri ya mafanikio

KIUNGO nyota wa Wekundu wa Msimbazi, Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ ameitaja siri ya mafanikio yake dimbani kuwa ni kujituma, huku akikabidhi harakati zake mikononi mwa Mwenyezi Mungu, anayemuwezesha kufanya mambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani