Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi aipa Yanga siri za Platinum

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu amesema wapinzani wa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika, FC Platinum sasa wanafanya mbinu zote usiku na mchana kuhakikisha wanashinda mchezo huo wa marudiano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Pluijm: Nimenasa siri zote za Platinum

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Nicodemus Jonas na Hans Mloli
YANGA kesho Jumapili inacheza na FC Platinum ya Zimbabwe mechi ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amesema amenasa mbinu zote za wapinzani wao na ni lazima wawafunge. Kocha huyo raia wa Uholanzi, kikosi chake jana Ijumaa asubuhi kilifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Karume na baada ya mazoezi hayo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Makoye aipa Simba siri ya mafanikio

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo” amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

YANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1

Wachezaji wa Yanga wakishangilia mojawapo ya mabao yao. Simon Msuva akiichambua ngome ya Platinum. Amissi Tambwe akipambana na mabeki wa FC Platinum wakati wa mechi ya leo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaichakaza Platinum

Yanga imepiga hatua moja kuifuata Etoile Sahel ya Tunisia baada ya kuichakaza Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-1 na kujiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele kwa hatua ya pili ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaipania Platinum

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ amesema wako tayari kucheza uwanja wowote na Platinum hata kama ni jangwani katika mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano



Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga plot Platinum ambush

Kampala. A key trial in Uganda of 13 men accused of taking part in Al-Shabaab bombings that killed 76 people in 2010 was postponed Tuesday after the top prosecutor was shot dead.

 

10 years ago

Mwananchi

Jeshi la Yanga SC laishukia Platinum

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanashuka uwanjani leo kuikabili Platinum ya Zimbabwe katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yatamba kuifunga Platinum FC

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm amesema hawatabweteka na ushindi wa awali wa 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani