Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga
Licha ya kuisifu Yanga kama moja ya timu kubwa na bora nchini, kocha mkuu wa Toto Africans ya Mwanza, Martin Glerics amesema hatambui kama kuna undugu kati ya timu hizo na atahakikisha anaifunga kila atakapokutana nayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Udugu kando, vita Yanga, KMKM
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Mjerumani aziita Simba, Yanga
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga
9 years ago
Habarileo21 Oct
Ni Yanga na Toto lake Dar
BAADA ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na Azam FC kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wao uliopita, leo Yanga wana kibarua kingine watakapoikaribisha Toto Africans ya Mwanza kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?
9 years ago
Vijimambo11 years ago
Mwananchi15 Mar
Manji avunja Kamati ya Uchaguzi ya Yanga
11 years ago
GPLBeki avunja mkataba, atua Yanga