Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji avunja Kamati ya Uchaguzi ya Yanga

Uongozi wa Yanga umevunja kamati ya uchaguzi na kutangaza kamati mpya, ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika baadaye mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Habarileo

Sitta avunja Kamati ya Uongozi

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa awali wa nafasi tano za Kamati ya Uongozi ili kuifanya kamati hiyo kuwa na uwakilishi mpana.

 

10 years ago

Mwananchi

MGOGORO WA KIKATIBA: Malinzi avunja kamati zote

>Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amefanya mabadiliko kwenye kamati zote, ikiwa ni miezi isiyopungua kumi baada ya kuziunda

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji aibuka Yanga

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....

 

11 years ago

GPL

Manji ajitoa Yanga SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji. Na Hans Mloli
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ametangaza rasmi kutowania tena nafasi ya uenyekiti kwenye uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaotangazwa baadaye mwakani. Manji alichukua wadhifa huo mwaka jana baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa Mwenyekiti, Lloyd Nchunga, aliyekuwa amebakiza miaka miwili ya uongozi wake klabuni hapo. Manji ambaye pia ni mfadhili wa klabu hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji awatega wakorofi Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...

 

11 years ago

GPL

Manji amuokoa Kaseja Yanga

Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya uongozi wa Yanga juzi Jumanne, kuweka wazi majina ya wachezaji 11 uliowatema, imefahamika kuwa Juma Kaseja aliokolewa na mwenyekiti wa timu hiyo, Yusuf Manji. Mwenyekiti wa timu ya Yanga SC, Yusuf Manji. Imekuwa ikielezwa kuwa Kaseja hatakiwi kwenye kikosi cha Yanga kutokana na kufanya vibaya kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Awali,… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Tigana: Manji tatizo Yanga

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Ally Yusuph ‘Tigana’, amesema Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji (pichani) ‘anaivuruga’ klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani