Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGOGORO WA KIKATIBA: Malinzi avunja kamati zote

>Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amefanya mabadiliko kwenye kamati zote, ikiwa ni miezi isiyopungua kumi baada ya kuziunda

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sitta avunja Kamati ya Uongozi

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa awali wa nafasi tano za Kamati ya Uongozi ili kuifanya kamati hiyo kuwa na uwakilishi mpana.

 

11 years ago

Mwananchi

Manji avunja Kamati ya Uchaguzi ya Yanga

Uongozi wa Yanga umevunja kamati ya uchaguzi na kutangaza kamati mpya, ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika baadaye mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

11 years ago

Michuzi

Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga

 Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. --- Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazee wadai kutengwa kikatiba

WAWAKILISHI wa Mashirika yanayotetea wazee nchini (TSPN), wameililia serikali na viongozi wa dini kwamba wametengwa kwa kuwa rasimu iliyopendekezwa haijawazungumzia. Hayo yanatokana na ongezeko la vifo vya wazee vitokanavyo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvutano wa kikatiba wafukuta AFP

Mgongano zaidi umejitokeza kwenye Chama cha Alliance of Tanzania Farmers (AFP) baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Rashid Rai kusema kwamba hakuna kifungu cha katiba yao kinachoruhusu kumfukuza mwanachama bila ya baraka za Mkutano Mkuu wa Taifa

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Haki ya ardhi itambuliwe kikatiba’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Reuben Matango kutoka kundi la wafugaji, amesema ni vema haki ya ardhi na maji vikaingizwa katika katiba. Akizungumza na Tanzania Daima jana katika mahojiano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi wapiganiwa kutambuliwa kikatiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Issa  Suleiman anayetokea  Zanzibar kupitia kundi la wavuvi amesema kuwa anataka kundi hilo litambuliwe kikatiba. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano jana alisema kuwa kundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani