Mvutano wa kikatiba wafukuta AFP
Mgongano zaidi umejitokeza kwenye Chama cha Alliance of Tanzania Farmers (AFP) baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Rashid Rai kusema kwamba hakuna kifungu cha katiba yao kinachoruhusu kumfukuza mwanachama bila ya baraka za Mkutano Mkuu wa Taifa
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Mgogoro wafukuta Moravian
Wachungaji, waumini wafunga ofisi ya AskofuKazi zasimama kwa saa nne, Polisi waingilia kati
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
MGOGORO unaoendelea kufukuta ndani ya Kanisa la Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusini Magharibi, umechukua sura mpya baada ya wachungaji na waumini kufunga ofisi ya Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Alinikisa Cheyo, kwa makufuli na minyororo.
Hatua hiyo imefikiwa ikiwa ni shinikizo la kumtaka Askofu Cheyo, ajiuzulu wadhifa huo kutokana na madai ya kumfukuza kazi Mwenyekiti wa jimbo...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Mgogoro wa uongozi wafukuta Arusha
MGOGORO wa uongozi mkoani Arusha umefikia hatua mbaya ambapo sasa ni wazi Mkurugenzi wa Jiji, Sipora Liana, hawezi kuiva chungu kimoja na Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Meya na Baraza la Madiwani. Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo amegonga mwamba baada ya Liana kupuuza agizo lake alilotaka litekelezwe ndani ya siku sita.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mgogoro Kiwanda cha kahawa Moshi wafukuta
10 years ago
GPLAFP CHAMSIMAMISHA KATIBU MKUU WAKE
9 years ago
Habarileo30 Nov
AFP wasifu kasi ya Rais Magufuli
CHAMA cha siasa cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP) kimetoa pongezi kwa Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kasi ya utendaji kazi ambayo wameionesha na kuleta matumaini kwa wananchi.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
AFP yazindua kampeni, yaahidi usawa katika ajira
11 years ago
MichuziMGOMBEA WA AFP CHALINZE RAMADHANI MGAYA AJINADI KWA WANANCHI
10 years ago
VijimamboMwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP, Said Soud Said, Atangaza Nia kugombea Urais 2015
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wakulima watambulike kikatiba — Matango
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Reuben Matango, ametaka kundi la wakulima kutambuliwa kisheria na kuingizwa katika Katiba mpya tofauti na ilivyo sasa. Akizungumza na Tanzania Daima muda mfupi baada...