MGOMBEA WA AFP CHALINZE RAMADHANI MGAYA AJINADI KWA WANANCHI
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia chama cha AFP, Ramadhani Mgaya akinadiwa na Mkurugenzi wa habari na uenezi wa AFP kitaifa, Mwalami Uwesu wakati wa kampeni za mgombea huyo katika ebneo la sokoni Chalinze mjini Kata ya Bwilingu Chalinze.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia chama cha AFP, Ramadhani Mgayaakijinadi kwa wananchi wa jimbo la Chalinze wakati wa kampeni zake za kuwania Ubunge jimboni humo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEw1AvcW*q9vrJtn*YQ-606RxaqUEkPKdYAy3hrDeVUUmbmStwQ00Sbul-LKa7jVA7*PnIUgMqbkqXvaDi3mwmyl/mgaya.jpg?width=450)
MGOMBEA UBUNGE CHALINZE, RAMADHANI MGAYA AJERUHIWA KWA MAPANGA
10 years ago
Michuzi21 Jul
MUSTAFA PANJU AJINADI KWA WANANCHI WA JIMBO LA ARUSHA ASEMA AKIPATA UBUNGE HAWATAJUTIA KAMWE
![SAM_3941](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/DVEogJAi8zB9T21HtGWMeEqgoY2cXjLxH0oXN-LMA7qhw9Kijvz-BUNfNlwEQWra1ivSn1EwbGWl4syRpkl3llKLjr-4WN-5SLjifFxdHngfd1k=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3941.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x9mUs9nEUGM/U9YVtBI3WII/AAAAAAAF7S0/jjTcfvPeSDs/s72-c/d8cec92270ea8762f4c3d27474c80030.jpg)
UCHAGUZI DMV: MGOMBEA MAKAMU WA RAIS BI SALIMA MOSHI AJINADI
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9mUs9nEUGM/U9YVtBI3WII/AAAAAAAF7S0/jjTcfvPeSDs/s1600/d8cec92270ea8762f4c3d27474c80030.jpg)
Kwa heshima na taadhima naomba kura zenu mimi SALIMA MOSHI mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais DMV. Kujua sera zangu BOFYA HAPA
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mgombea Chalinze kuzindua kampeni
11 years ago
Habarileo06 Mar
Chadema wamtafuta mgombea wa Chalinze
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mchakato wa kutafuta mgombea wa kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Chalinze, ambapo jana fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho zilianza kutolewa.
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Habarileo14 Mar
Mgombea Chadema awekewa pingamizi Chalinze
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chadema, Mathayo Torongey, amewekewa pingamizi na mgombea wa CUF, Fabian Skauki, akidaiwa kuwa pamoja na mambo mengine, hajui kusoma na kuandika Kiswahili wala Kiingereza. Mgombea mwingine katika uchaguzi huo ni Ridhiwani Kikwete, ambaye anagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).