UCHAGUZI DMV: MGOMBEA MAKAMU WA RAIS BI SALIMA MOSHI AJINADI
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9mUs9nEUGM/U9YVtBI3WII/AAAAAAAF7S0/jjTcfvPeSDs/s72-c/d8cec92270ea8762f4c3d27474c80030.jpg)
Wana DMV mimi Salima Moshi ndiye kiongozi wenu imara nisiyeyumba. Nitakuwa pamoja nanyi wakati wote kwenye shida na raha na kwenye dhoruba na shwari na kwenye matatizo na mafanikio SITAJITOA na kuwaacha njia panda.
Kwa heshima na taadhima naomba kura zenu mimi SALIMA MOSHI mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais DMV. Kujua sera zangu BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMBi-CzAWmY/U9tCv5i8oeI/AAAAAAAF8Jc/Cwf9QUaf1XI/s72-c/d8cec92270ea8762f4c3d27474c80030.jpg)
UCHAGUZI DMV: Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais,Salima Moshi anadi sera zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMBi-CzAWmY/U9tCv5i8oeI/AAAAAAAF8Jc/Cwf9QUaf1XI/s1600/d8cec92270ea8762f4c3d27474c80030.jpg)
SITOJITOA kamwe katika dhamana mtakayonikabidhi kama ilivyotokea kwa mgombea mwenzangu tarehe 18 July alijitoa Ubalozini mbele ya viongozi na kusema anajitoa hawezi kugombea tena na kuniendorse mimi.
Hivyo mtu akijitoa Hataki lawama ina maana kazi haiwezi Msije mkamlaumu,tumeshuhudia wagombea aina hii,hatutaki kufanya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8JSh22QIQAk/U81kjQV6dfI/AAAAAAAF4hM/27HXgLDRENQ/s72-c/png_base64c5152851411af50e.png)
HARRIET SHANGARAI: MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV ANAOMBA KURA YAKO
Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.
HARRIET SHANGARAI
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...
![](http://4.bp.blogspot.com/-8JSh22QIQAk/U81kjQV6dfI/AAAAAAAF4hM/27HXgLDRENQ/s1600/png_base64c5152851411af50e.png)
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
10 years ago
MichuziMazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV
Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 chini ya utayarishaji wa Vijimambo BlogKaribu uungane nasi kusikia anachopinga
11 years ago
MichuziMGOMBEA WA AFP CHALINZE RAMADHANI MGAYA AJINADI KWA WANANCHI
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi
11 years ago
Michuzi22 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yEak76veix0/UwRx7euCU_I/AAAAAAACbGg/pUg7I-_8LVQ/s72-c/Sanaa.Still019.jpg)
WITO: BALOZI ZETU ZINAPASWA ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salima Moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-yEak76veix0/UwRx7euCU_I/AAAAAAACbGg/pUg7I-_8LVQ/s1600/Sanaa.Still019.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AzvBKqsCD8w/UwRx7mY-j1I/AAAAAAACbGU/ZIFdxD1ETJo/s1600/Sanaa.Still021.jpg)
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania