Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WITO: BALOZI ZETU ZINAPASWA ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salima Moshi

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kucheza na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo kwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014. Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi akiongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salma Moshi

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kuchea na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014. Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi aliongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi wa...

 

11 years ago

GPL

BALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU‏ - SALMA MOSHI

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahiri wake wa kucheza na nyoka, Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014.…
...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI DMV: MGOMBEA MAKAMU WA RAIS BI SALIMA MOSHI AJINADI

Wana DMV  mimi Salima Moshi ndiye kiongozi  wenu imara nisiyeyumba.  Nitakuwa pamoja nanyi wakati wote kwenye shida na raha na kwenye dhoruba na shwari na kwenye matatizo na mafanikio SITAJITOA na kuwaacha njia panda.
Kwa heshima na taadhima naomba kura zenu mimi SALIMA MOSHI mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais DMV. Kujua sera zangu BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI DMV: Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais,Salima Moshi anadi sera zake

Mimi Salima Moshi,Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais DMV,Napenda kuwa hakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega,tutashirikiana kwa pamoja ili kuendeleza Jumuia yetu hapa DMV.
SITOJITOA kamwe katika dhamana mtakayonikabidhi kama ilivyotokea kwa mgombea mwenzangu tarehe 18 July alijitoa Ubalozini mbele ya viongozi na kusema anajitoa hawezi kugombea tena na kuniendorse mimi.
 Hivyo mtu akijitoa Hataki lawama ina maana kazi haiwezi Msije mkamlaumu,tumeshuhudia wagombea aina hii,hatutaki kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu - 3

Hebu tumalizie mada yetu tukijiuliza, je, utamaduni ni nini?

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu- 2

Wiki iliyopita tulikumbushana kwamba ugaidi siyo dini. Wanaotumia Uislamu kuua au kutimiza matakwa yao wana mustakbali tofauti na wapenda amani. Pili, ugaidi unaoendelea sasa hivi una chimbuko ndani ya mgogoro wa kipindi kirefu baina ya Wapalestina na Wayahudi. Mgogoro huu haujasuluhishwa, abadan.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu na utamaduni wa kiarabu

Ila wasiwasi uliowashika wanausalama wanaojua mikunjokunjo ya shuka na kanzu za ulimwengu wetu ni tafrani kali zinazoendelea Syria na Iraq. Wasiwasi wa mashushushu na wanasiasa majuu ni hatari zitakazoenezwa na migogoro hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu

Moja katika mambo ambayo wadau wa tasnia ya sanaa tumefanikiwa kuyafanya kwa umakini katika kipindi chote cha mwaka huu ni ushabiki. Watanzania ushabiki tunauweza na tunaweza kuwekeza muda na nguvu kazi katika hili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani