Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU‏ - SALMA MOSHI

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahiri wake wa kucheza na nyoka, Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014.…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salma Moshi

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kuchea na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014. Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi aliongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi wa...

 

11 years ago

Michuzi

WITO: BALOZI ZETU ZINAPASWA ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salima Moshi

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kucheza na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo kwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014. Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi akiongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu- 2

Wiki iliyopita tulikumbushana kwamba ugaidi siyo dini. Wanaotumia Uislamu kuua au kutimiza matakwa yao wana mustakbali tofauti na wapenda amani. Pili, ugaidi unaoendelea sasa hivi una chimbuko ndani ya mgogoro wa kipindi kirefu baina ya Wapalestina na Wayahudi. Mgogoro huu haujasuluhishwa, abadan.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu na utamaduni wa kiarabu

Ila wasiwasi uliowashika wanausalama wanaojua mikunjokunjo ya shuka na kanzu za ulimwengu wetu ni tafrani kali zinazoendelea Syria na Iraq. Wasiwasi wa mashushushu na wanasiasa majuu ni hatari zitakazoenezwa na migogoro hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu - 3

Hebu tumalizie mada yetu tukijiuliza, je, utamaduni ni nini?

 

10 years ago

Mwananchi

Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu

Moja katika mambo ambayo wadau wa tasnia ya sanaa tumefanikiwa kuyafanya kwa umakini katika kipindi chote cha mwaka huu ni ushabiki. Watanzania ushabiki tunauweza na tunaweza kuwekeza muda na nguvu kazi katika hili.

 

11 years ago

Dewji Blog

“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete

DSC_0002

MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’  kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...

 

10 years ago

Michuzi

Mazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV

 Salma Moshi akizungumza na Mubelwa Bandio kwenye mahojiano haya
Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 chini ya utayarishaji wa Vijimambo BlogKaribu uungane nasi kusikia anachopinga

 

9 years ago

Vijimambo

JUKWAA LA SANAA LAFANA, SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA



Baadhi ya wasanii wakimsikiliza Salma MoshiMwandishi maarufu Khadija Khalili (mwenye daftari) akifuatilia maada
Mwenyekiti wa CHAMRUMBA akiwa na Mzee Mapili
Francis Kaswahili mwenye kofia Mwenyekiti TAFOMUDEA



Abbu Omari mwanamuziki aishiye JapanSalma Moshi na Mzee MapiliMeza Kuu
Group Picture
Salma akiwa na baadhi ya wasanii aliowalipia sehemu ya Bima ya Afya


Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani