Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu - 3
Hebu tumalizie mada yetu tukijiuliza, je, utamaduni ni nini?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kiswahili na uhusiano wetu na utamaduni wa kiarabu
Ila wasiwasi uliowashika wanausalama wanaojua mikunjokunjo ya shuka na kanzu za ulimwengu wetu ni tafrani kali zinazoendelea Syria na Iraq. Wasiwasi wa mashushushu na wanasiasa majuu ni hatari zitakazoenezwa na migogoro hii.
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Kiswahili na uhusiano wetu, utamaduni wa kiarabu- 2
Wiki iliyopita tulikumbushana kwamba ugaidi siyo dini. Wanaotumia Uislamu kuua au kutimiza matakwa yao wana mustakbali tofauti na wapenda amani. Pili, ugaidi unaoendelea sasa hivi una chimbuko ndani ya mgogoro wa kipindi kirefu baina ya Wapalestina na Wayahudi. Mgogoro huu haujasuluhishwa, abadan.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Obama na uhusiano wa Falme za Kiarabu
Rais wa Marekani Barack Obama anaongoza mkutano wa viongozi wa falme za kiarab ambao unalenga kuhakikisha uhusiano baina yao na Marekani na Iran
9 years ago
MichuziUHUSIANO WA MASUALA YA UTAMADUNI KATI YA TANZANIA NA CHINA WAENDELEA KUBORESHWA
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga (katikati) akimsikiliza Afisa Balozi wa China anayehusika na masuala ya Utamaduni nchini Tanzania Bw. GAO WEI (wapili kushoto) walipofika katika ofisi za Wizara kutambulisha uongozi mpya na kutoa nafasi kwa uongozi wa zamani kuaga Wizara yenye dhamana na masuala ya Utamaduni leo Jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga (kulia) akimkabidhi Afisa Balozi wa...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu
Moja katika mambo ambayo wadau wa tasnia ya sanaa tumefanikiwa kuyafanya kwa umakini katika kipindi chote cha mwaka huu ni ushabiki. Watanzania ushabiki tunauweza na tunaweza kuwekeza muda na nguvu kazi katika hili.
11 years ago
MichuziBALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salma Moshi
Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kuchea na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014.
Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi aliongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi wa...
11 years ago
GPLBALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - SALMA MOSHI
Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahiri wake wa kucheza na nyoka, Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014.…
...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Nyerere, Kiswahili na umoja wetu
Baada ya siku chache ya kumbukumbu ya miaka 16 ya kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hatuna budi kutafakari kwa pamoja matumizi yake ya Kiswahili kama lugha ya ukombozi kwa Watanzania na Waafrika wote katika harakati za mapambano dhidi ya ukoloni na baada ya uhuru.
11 years ago
MichuziWITO: BALOZI ZETU ZINAPASWA ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - Salima Moshi
Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kucheza na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo kwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula alipokwenda kujitambulisha rasmi kwenye Ubalozini wa Tanzania uliopo Washington, DC siku ya Jumanne Feb 18, 2014.
Msanii wa siku nyingi na mahili wa kucheza na nyoka Bi. Salma Moshi akiongea na Mhe. Balozi Libetara Mulamula alipotembelea Ubalozi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania