Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?

Pengine majiji matatu makubwa yanayopendwa na kuheshimika zaidi Tanzania ni Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Ni kama ambavyo Waingereza wanathamini majiji ya London, Manchester na Birmingham. Katika soka, majiji hayo yote yana timu za Ligi Kuu na zimekuwa sehemu ya alama ya majiji hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi …

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limepitia ombi la chama cha wanasoka Tanzania SPUTANZA, TFF ambayo ilipokea ombi la SPUTANZA kushughulikia madai ya muda mrefu ya wachezaji wa zamani wa  Yanga, ambao waliachwa wakati wakiwa bado wanaidai klabu hiyo. December 24 mwenyekiti wa SPUTANZA Musa Kisoki alithibitisha kupatiwa ufumbuzi suala hilo. Wachezaji wanaoidai Yanga […]

The post TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi … appeared first on...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Toto lake Dar

BAADA ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na Azam FC kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wao uliopita, leo Yanga wana kibarua kingine watakapoikaribisha Toto Africans ya Mwanza kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ashley Toto Akanusha Kuwa na Mhusiano na Diamond

Mrembo na mwigizaji wa filamu wa hapa Bongo anayefanyia kazi zake inchini Ujerumani, Ashuu Ally “Ashley Toto amekanusha kuwa na mahusia yo kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kufuatia  taarifa za udaku zilizoenea hivi karibuni kwenye mazagezi ya udaku na blogu mbalimbali kuwa wawili hawo wapo kwenye mahusino ya siri.

Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instagram Ashley Toto alibandika picha ya moja ya blogu (hapo juu) iliyoandika stori hiyo na kuandika maneno...

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga

Licha ya kuisifu Yanga kama moja ya timu kubwa na bora nchini, kocha mkuu wa Toto Africans ya Mwanza, Martin Glerics amesema hatambui kama kuna undugu kati ya timu hizo na atahakikisha anaifunga kila atakapokutana nayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini

Mbunge wa Moshi mjini, Philemon Ndesamburo ameapa kufanya kampeni angani na ardhini, kuhakikisha kuwa CCM inashindwa vibaya uchaguzi mkuu wa 2015.

 

10 years ago

Habarileo

Wahadzabe, Wasandawe wataendelea kulindwa, asema Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini, yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilimali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.

 

10 years ago

Vijimambo

Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini

Moshi. Mbunge wa Moshi mjini, Philemon Ndesamburo ameapa kufanya kampeni angani na ardhini, kuhakikisha kuwa CCM inashindwa vibaya uchaguzi mkuu wa 2015.Katika mahojiano maalumu na gazeti hili jana mjini Moshi, Ndesamburo aliahidi kutoa helikopta yake na kukodi nyingine kutoka nje ya nchi kuendesha kampeni hiyo ya nguvu.Hata hivyo, Ndesamburo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Kilimanjaro, alikataa kutaja idadi ya helikopta zitakazokodishwa akisema kufanya hivyo ni kuwapa faida maadui...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani