Ashley Toto Akanusha Kuwa na Mhusiano na Diamond
Mrembo na mwigizaji wa filamu wa hapa Bongo anayefanyia kazi zake inchini Ujerumani, Ashuu Ally “Ashley Toto amekanusha kuwa na mahusia yo kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kufuatia taarifa za udaku zilizoenea hivi karibuni kwenye mazagezi ya udaku na blogu mbalimbali kuwa wawili hawo wapo kwenye mahusino ya siri.
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instagram Ashley Toto alibandika picha ya moja ya blogu (hapo juu) iliyoandika stori hiyo na kuandika maneno...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?
10 years ago
GPL
WOLPER AKANUSHA KUWA MJAMZITO
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Jennifer Hudson akanusha kuwa mgonjwa
10 years ago
Bongo504 Dec
Quick Rocka akanusha kuwa na uhusiano na Kajala
10 years ago
CloudsFM06 Nov
SHETTA AKANUSHA KUWA NA BIFU NA ALLY KIBA
Mkali wa ngoma ya ‘’Kerewa’’,Sheta amekanusha habari zilizozagaa mtandaoni kuwa hawezi kufanya kolabo na msanii mwenzake wa Bongo Fleva,Ally Kiba.
‘’Sina bifu na Ally Kiba,nilichosema ni kwamba sina mpango wa kufanya kolabo na msanii yoyote hapa Bongo kwa sasa,’’alisema Shetta.
10 years ago
Bongo509 Oct
Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams
10 years ago
Bongo528 Oct
Future akanusha tetesi za kuwa na uhusiano na Blac Chyna!
9 years ago
Bongo518 Nov
Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.
Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.
Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.
“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...