SHETTA AKANUSHA KUWA NA BIFU NA ALLY KIBA
Mkali wa ngoma ya ‘’Kerewa’’,Sheta amekanusha habari zilizozagaa mtandaoni kuwa hawezi kufanya kolabo na msanii mwenzake wa Bongo Fleva,Ally Kiba.
‘’Sina bifu na Ally Kiba,nilichosema ni kwamba sina mpango wa kufanya kolabo na msanii yoyote hapa Bongo kwa sasa,’’alisema Shetta.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL10 Jun
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Abdu Kiba: Ally Kiba kaniokoa
NA SHARIFA MMASI
MSANII wa Bongo Fleva nchini, Abdu Kiba, amedai kufanya kazi ya muziki na ndugu wa damu moja, kumemsaidia kutambulika haraka kwenye soko la muziki ndani na nje ya nchi.
Abdu Kiba anayeendelea kutamba na wimbo mpya wa ‘Ayaya’ aliomshirikisha Hellen Magashi ‘Rubby’, amesema ni fahari kwake kwa kuwa kazi yake ya muziki imepokelewa kwa urahisi.
“Kuna faida kubwa sana ya kufanya kazi na ndugu hasa anapokuwa na mashabiki wengi kama ilivyo kwa kaka yangu, Ally Kiba.
“Umaarufu wa...
9 years ago
Bongo511 Sep
Shetta akanusha kubebwa kwenye kolabo anazofanya
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZzo7IsPNoa6YZyqBzIjSoCwGU1uLAkODIbgcG5RouqbW-0S*LzmFGwR-3RXAGHzJhVGnVjG3wt2baZn7Z2B73-/Kiba.jpg?width=650)
MAGUFULI AMALIZA BIFU LA KIBA, DIAMOND
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Ali Kiba afunguka kuhusu bifu na Diamond
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Kali za Ally Kiba kufanywa tofauti
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Ally Kiba akunwa na kiwango cha AY
MKALI wa muziki wa kizazi kipya, Ally Kiba, amesema kuwa, msanii ambaye anamkubali hapa nchini ni Ambwene Yesaya ‘AY’ huku akiwataka watu wamlinganishe na msanii huyo sio Naseeb Abdul ‘Diamond...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Dully Sykes awashauri Diamond, Ally Kiba
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amewataka wakali wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Ally Kiba, watoe ‘Collabo’ ili kukusanya mashabiki wa muziki...
11 years ago
GPL23 Jul
NINA MATUMANINI NA NCHI YANGU - ALLY KIBA