MAGUFULI AMALIZA BIFU LA KIBA, DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZzo7IsPNoa6YZyqBzIjSoCwGU1uLAkODIbgcG5RouqbW-0S*LzmFGwR-3RXAGHzJhVGnVjG3wt2baZn7Z2B73-/Kiba.jpg?width=650)
Mwandishi wetu Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu, hatimaye mgombea wa nafasi ya urais kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amemaliza yale mabifu sugu kati ya manguli wawili wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na lile la Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel, Ijumaa linaweza kuripoti. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1KsV75W ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Ali Kiba afunguka kuhusu bifu na Diamond
10 years ago
CloudsFM06 Nov
SHETTA AKANUSHA KUWA NA BIFU NA ALLY KIBA
Mkali wa ngoma ya ‘’Kerewa’’,Sheta amekanusha habari zilizozagaa mtandaoni kuwa hawezi kufanya kolabo na msanii mwenzake wa Bongo Fleva,Ally Kiba.
‘’Sina bifu na Ally Kiba,nilichosema ni kwamba sina mpango wa kufanya kolabo na msanii yoyote hapa Bongo kwa sasa,’’alisema Shetta.
9 years ago
Mtanzania02 Jan
BIFU LA DIAMOND, BLUE, AFANDE SELE AIBUKA
NA CHRISTOPHER MSEKENA
LILE bifu la kugombania jina la Simba ambalo linawahusisha wasanii nyota wa Bongo Fleva, Henry Samir ‘Mr Blue’ na Nasibu Abdul ‘Diamond’ limemuibua mkongwe Suleiman Msindi ‘Afande Sele’ ambaye alikuwa kwenye mishe za siasa.
Afande Sele maarufu Mfalme wa Rymes, aliyekuwa akigombea Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini, amesema yeye ndiye mwanzilishi wa jina hilo miaka mingi iliyopita.
“Hata ukimuuliza mtoto mdogo atakuambia, mimi ndiye Simba Dume. Mwaka 2008...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1goHeGM*aQGNkR-hCZ2rnxBVw4cHjLkT*W-8kGIBcCL5fLVnHx4Ql3o*BRUtmqUXaCS7Y7N9lMzKdPJnYwTrgG/jokate.jpg?width=650)
BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-2.jpg?width=650)
MAGUFULI AMALIZA KAZI