Ali Kiba afunguka kuhusu bifu na Diamond
Hatimaye staa wa Bongofleva Ali Kiba amekiri kuwa yuko katika bifu na mwanamuziki mwenzie Diamond Platnumz kwa zaidi ya miaka mitatu sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi01 Aug
GURU G LOVER ALONGA NA VIJIMAMBO AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA ALI KIBA NI KWANINI WALISHINDWANA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t1.0-9/301607_498423713554170_681342625_n.jpg)
![](https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/148204_123746221021923_1400299_n.jpg?oh=7d833f9192ab13b91ccf9d3f959600bc&oe=5437E12C)
![](https://scontent-a.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/t1.0-9/546189_341377952592081_2010010420_n.jpg)
![](https://scontent-a.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/t1.0-9/377541_243961639000380_1548176228_n.jpg)
11 years ago
GPL![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t1.0-9/301607_498423713554170_681342625_n.jpg)
GURU G LOVER ALONGA NA VIJIMAMBO AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA ALI KIBA NI KWANINI WALISHINDWANA
Dj G Lover Dj wa siku nyingi katika anga ya muziki Tanzania na Dj anaepambana na kuupaisha muziki wa kizazi kipya kila kukicha leo Ijumaa Aug 1, 2014 alifanya mahajiano ya simu na VIJIMAMBO Â aliongelea mambo mengi kuhusu wasanii na sababu gani walishindwana yeye na Ali Kiba MSIKILIZE
Picha juu na chini Dj G Lover akiwa na wasanii mbambali wa Bongo… ...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
>Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Ali Salehe Kiba maarufu Alikiba, amezungumzia yaliyomsibu hata kujiweka kando ya shughuli za muziki na ujio wake mpya.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZzo7IsPNoa6YZyqBzIjSoCwGU1uLAkODIbgcG5RouqbW-0S*LzmFGwR-3RXAGHzJhVGnVjG3wt2baZn7Z2B73-/Kiba.jpg?width=650)
MAGUFULI AMALIZA BIFU LA KIBA, DIAMOND
Mwandishi wetu Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu, hatimaye mgombea wa nafasi ya urais kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amemaliza yale mabifu sugu kati ya manguli wawili wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na lile la Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel, Ijumaa linaweza kuripoti. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1KsV75W ...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Ni mpambano wa Ali Kiba V Diamond
Kitendawili cha muda mrefu cha ‘nani mbabe kati ya Ali Kiba na Diamond’ huenda kikapata moja ya majawabu yake leo usiku, wakati wa tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm4V1LFxO6Azmj*1uYwxcmJquNBTyIhtMSyWuynmnyJ7hNSn9qqvxvFyKA*PKRo7UTspZZkHU004ME*MeYHKkU2v/1213copy.jpg?width=650)
ALI KIBA VS DIAMOND WANAGOMBEA UFALME
INAWEZEKANA lisiwe jibu sahihi lakini kwa kiasi fulani linatoa picha juu ya kinachoendelea kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva, kila kona gumzo ni juu ya nani mkali kimuziki kati ya Diamond Platnumz dhidi ya Ali Kiba. Ali Kiba. Nasibu Abdul ‘Diamond’ ndiye staa kwa sasa na amedumu kileleni kwa miaka kadhaa, hilo halina ubishi, lakini Ali Kiba amerejea kwa kutoa nyimbo mbili za Kimasomaso na… ...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania