MAGUFULI AMALIZA KAZI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-2.jpg?width=650)
Na Richard Bukos, Pwani MGOMBEA Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, (pichani) amemaliza kazi huku akitarajia kumwaga sera za mwisho katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam kabla ya kesho kuhitimisha fainali kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Magufuli, ambaye ameongeza kasi na kubadili mitazamo ya watu kadiri siku za kampeni zilivyokuwa zikisonga, anaelezwa na wachambuzi wa masuala ya siasa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-E2YFB74mLCA/VSfTSKGxaJI/AAAAAAABK94/FaWw2nU4u7c/s72-c/Waziri-wa-Kazi.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E2YFB74mLCA/VSfTSKGxaJI/AAAAAAABK94/FaWw2nU4u7c/s1600/Waziri-wa-Kazi.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZzo7IsPNoa6YZyqBzIjSoCwGU1uLAkODIbgcG5RouqbW-0S*LzmFGwR-3RXAGHzJhVGnVjG3wt2baZn7Z2B73-/Kiba.jpg?width=650)
MAGUFULI AMALIZA BIFU LA KIBA, DIAMOND
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3Kn7VKkxHTk/VhLIxNTPFZI/AAAAAAAADjI/haf8RW5lWeE/s72-c/OTH_0406.jpg)
LOWASSA AMALIZA KAZI JIMBO LA MONDULI, AMNADI JULIUS KALANGA KUWA NDIEANAFAA KUSHIKA MIKOBA YAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-3Kn7VKkxHTk/VhLIxNTPFZI/AAAAAAAADjI/haf8RW5lWeE/s640/OTH_0406.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4a_Tuj-Y1fk/VhLJK7ZJ8iI/AAAAAAAADjU/btzIRJ4VfoE/s640/OTH_0463.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DxpvkujwUEY/VhLJLNFOghI/AAAAAAAADjc/Nf_uoHUF-ow/s640/OTH_0521.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qc7a7hvvz7s/VhLJRexpR7I/AAAAAAAADjo/8ihJ_BC86bI/s640/OTH_0524.jpg)
9 years ago
Vijimambo27 Sep
MWIGULU NCHEMBA AENDELEA KUCHANJA MBUGA,AMALIZA KAZI MKOA WA SINGIDA KUHAKIKISHA CCM INASHINDA KWA KISHINDO
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/11224522_429977853871115_7948411750491525655_n.jpg?oh=dbba4a3b490e5ba1808cc2b51bd53130&oe=56A08E4F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12027503_429978013871099_4476088822768348041_n.jpg?oh=553771f7f9f0651088bb66c5fee7e5b6&oe=56A1DE19)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s72-c/_MG_9123.jpg)
Dkt. MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE KAGERA, KESHO KUUNGURUMA MKOANI GEITA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1186.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akitoa mpya jukwaani kwa kupiga Push Up kama kumi hivi ili kuwadhihirishia wananchi wa Mjini Karagwe mkoani Kagera kuwa yuko fiti kiafya ili kuwatumikia watanzania mara watakapompa ridhaa ya kuwaongoza Watanzania ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani .
Huku umati wa Wakazi wa Karagwe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s640/_MG_5681.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_q9I0wzUlw/Vh1TgQ5RcJI/AAAAAAADA18/aiisUZueSJ4/s640/_MG_5729.jpg)
9 years ago
Habarileo21 Nov
Magufuli ni kazi tu
RAIS John Magufuli ameeleza muongozo wa Serikali ya Awamu ya Tano, huku akisema amejipa kazi ya kutumbua jibu, ambalo anajua kuwa utumbuaji huo unauma, lakini hana namna. Akielezea sababu ya kujipa jukumu hilo, Dk Magufuli alianza kwa kuelezea mambo aliyolalamikiwa na wananchi wakati alipokuwa akifanya kampeni, ambapo alitumia barabara kuzungukia wananchi nchi nzima.
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-y7BKvSx9vIM/Viu6cQuLJ9I/AAAAAAAAqhk/sa0onvtw0DY/s72-c/2.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-y7BKvSx9vIM/Viu6cQuLJ9I/AAAAAAAAqhk/sa0onvtw0DY/s640/2.jpg)
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amehitimisha kampeni zake jijini Mwanza ambapo maelfu ya wananchi walihudhuria. Katika mkutano huo wa kampeni za aina yake zimehudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete pamoja na mgombea mwenza wa urais Samia Suluhu Hassan Akizungumza katika mkutano huo Dk. Magufuli amesema katika...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Magufuli: Asiyefanya kazi na asile