Magufuli: Asiyefanya kazi na asile
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kujipanga kufanya kazi kwa sababu Serikali yake haitavumilia watu wavivu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Magufuli ni kazi tu
RAIS John Magufuli ameeleza muongozo wa Serikali ya Awamu ya Tano, huku akisema amejipa kazi ya kutumbua jibu, ambalo anajua kuwa utumbuaji huo unauma, lakini hana namna. Akielezea sababu ya kujipa jukumu hilo, Dk Magufuli alianza kwa kuelezea mambo aliyolalamikiwa na wananchi wakati alipokuwa akifanya kampeni, ambapo alitumia barabara kuzungukia wananchi nchi nzima.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-2.jpg?width=650)
MAGUFULI AMALIZA KAZI
9 years ago
Habarileo03 Oct
Magufuli: MCC imerahisisha kazi
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC), limemrahisishia kazi ya kutoa fedha kwa Tanzania ya kusambaza umeme, hivyo hakutakuwa na ugumu katika usambazaji umeme.
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-y7BKvSx9vIM/Viu6cQuLJ9I/AAAAAAAAqhk/sa0onvtw0DY/s72-c/2.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-y7BKvSx9vIM/Viu6cQuLJ9I/AAAAAAAAqhk/sa0onvtw0DY/s640/2.jpg)
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amehitimisha kampeni zake jijini Mwanza ambapo maelfu ya wananchi walihudhuria. Katika mkutano huo wa kampeni za aina yake zimehudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete pamoja na mgombea mwenza wa urais Samia Suluhu Hassan Akizungumza katika mkutano huo Dk. Magufuli amesema katika...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uTLtXGw50bc/VdyPXtmMbvI/AAAAAAAAlJw/GVTX0YUToZ0/s72-c/g9.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI SUMBAWANGA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uTLtXGw50bc/VdyPXtmMbvI/AAAAAAAAlJw/GVTX0YUToZ0/s640/g9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oUO4hh_N4dQ/VdyPHgcTgrI/AAAAAAAAlJY/Of3rBFwUnzM/s640/g12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ySSzvuariTk/VdyPS736n0I/AAAAAAAAlJk/Jo-zb4RgMmU/s640/g13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-divv9SZk1cc/VdyPS05jaTI/AAAAAAAAlJg/a4pr9ayOIbk/s640/g15.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mjh-g-K2M3fDY2Wq3FTQSKrwrSA6w-5sg5eClX1q8VFN6Qde3xAwdIdjyB9RJBdxsAlzAK3EBOcI-*ZxlF2tr5H/Magufuli.gif?width=650)
KUMBE MAGUFULI MKALI WA HIZI KAZI
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Magufuli: Nipeni kazi nizibe mirija ya ufisadi
9 years ago
Habarileo04 Nov
Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi
WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.